Picha: Bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga Tanzania

Picha: Bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga Tanzania

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
42,436
Reaction score
50,163
Kwa wanaojua mambo watusaidie kuelewa, hili bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanzania mbona halifukiwi?

1742884684788.jpeg
 
Kwa wanaojua mambo watusaidie kuelewa, hili bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanzania mbona halifukiwi?

View attachment 3282531
Bomba hili usafirishaji wake ni tofauti na lile la TAZAMA la kwenda Zambia, hili mafuta hupashwa joto ili yatiririke wakati la Tazama mafuta husukumwa, hivyo ukilifukia hautaweza kulipasha joto.
NB, nunueni majiko ya gesi kwa ajili ya tenda ya kulipasha joto, mimi ninayo.
 
Bado mpk kwenye hatua ya finishing huko baada ya majaribio na testing..sidhani kama Kuna bomba la mafuta linaweza kuachiwa wazi hivo kuepusha majanga na ajali za wanyama
 
Bomba hili usafirishaji wake ni tofauti na lile la TAZAMA la kwenda Zambia, hili mafuta hupashwa joto ili yatiririke wakati la Tazama mafuta husukumwa, hivyo ukilifukia hautaweza kulipasha joto.
NB, nunueni majiko ya gesi kwa ajili ya tenda ya kulipasha joto, mimi ninayo.
KUna mfumo wa umeme kwenye hizo bomba utakaotumika kupasha joto.
 
Bomba hili usafirishaji wake ni tofauti na lile la TAZAMA la kwenda Zambia, hili mafuta hupashwa joto ili yatiririke wakati la Tazama mafuta husukumwa, hivyo ukilifukia hautaweza kulipasha joto.
NB, nunueni majiko ya gesi kwa ajili ya tenda ya kulipasha joto, mimi ninayo.
mhm kwenye majiko ya gesi sijakuelewa mkuu
 
Bomba hili usafirishaji wake ni tofauti na lile la TAZAMA la kwenda Zambia, hili mafuta hupashwa joto ili yatiririke wakati la Tazama mafuta husukumwa, hivyo ukilifukia hautaweza kulipasha joto.
NB, nunueni majiko ya gesi kwa ajili ya tenda ya kulipasha joto, mimi ninayo.
Daa hii kali ya mwaka.
Bomba lazima lifukiwe kwa sababu za kimazingira.
Kuna mfumo maalumu wa upashaji joto ambazo ni cable zitakazo wekwa kwenye bomba.
Kwann tunapasha joto ni kwa sababu ya nature ya mafuta yanayo chimbwa uganda yameganda kama nta ukiyapasha joto yanakuwa kimiminika rahisi kwa usafirishaji.
 
Back
Top Bottom