Picha: Binti huyu mwanafunzi wa form 4 kapotea

Picha: Binti huyu mwanafunzi wa form 4 kapotea

Kwa jinsi aliyo kuna kijana anamtafuna tu kubali kataa mitalimbo imemfanya apagawe
 
Waziri wa Kaskazini, Pole Mr Lukas Doga

Sijui members wengine nao mnafikiria kama ninavyofikiria mimi
Anyway hata sijafikiria jambo la maana lakini ukweli ndio huo nilioandika hapo juu.

Chanzo cha fikra zangu: muonekano wa anayetafutwa, sehemu anayotoka n.k
Kikubwa uvumilivu tu muhusika atakuja hadharani mtampiga faini na kumpangia mahari wakati huo wenzake Makrina watakuwa washamaliza kidato cha Nne[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmnh....Hapo hakuna msomaji..!
Mwanafunzi, form 4, kavaa kikuku kama si bangili. Nani alimpiga picha, ili aipeleke wapi, alitumia kifaa gani kipiga picha. Maswali ni mengi. Kweli hapo hakuna msomaji.
 
Write your reply...Daah hii habari imeniogopesha ngoja nikaambie haka kamwanafunz karudi kwao kasije tangazwa kama hako . kanaishi na bibi yake
 
Hivi ni kwanini Mabinti eanaotwa ‘makrina’ huwa wanakua motto chini?
 
Back
Top Bottom