ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,139
- 17,613
Mtu mzima hapotei.
Inasikitisha mtoto amebakisha miezi michache ahitimu kidato cha 4 alafu anakimbilia kuolewa! Kwa kweli atakayekuwa amehusika na kutoroka kwake nyumbani anastahili adhabu kali.Hajapotea huyo
Waziri wa Kaskazini yuko hewani labda atupe mrejesho kama mdogo wetu alishapatikanaAlisha patikana?