Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,980
- 14,742
Habari za leo ndugu zangu,
Picha ya huyo mtoto hapo chini anaitwa Makrina Lukas au Chanch kwa jina lililozoeleka.
Mtoto huyu yupo form four Shule ya Sekondari Magugu, Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara.
Mtoto huyu amepotea tarehe 04/02/2020, alitoka nyumbani saa moja na nusu asubuhi.
Piga namba hizi: 0787316877 Baba yake (Lukas Doga) au 0754483431 (Venance Doga)
RB number: Magugu/190/2020
Picha ya huyo mtoto hapo chini anaitwa Makrina Lukas au Chanch kwa jina lililozoeleka.
Mtoto huyu yupo form four Shule ya Sekondari Magugu, Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara.
Mtoto huyu amepotea tarehe 04/02/2020, alitoka nyumbani saa moja na nusu asubuhi.
Piga namba hizi: 0787316877 Baba yake (Lukas Doga) au 0754483431 (Venance Doga)
RB number: Magugu/190/2020