hata umtukani vipi Nape jembe la CCM na tbc haitaonesha live bungesura yake imemshuka kama beberu vile hana aibu huyo
hata umtukani vipi Nape jembe la CCM na tbc haitaonesha live bunge
hata umtukani vipi Nape jembe la CCM na tbc haitaonesha live bunge
Si lazima miaka mitano kwani Maswi amechukua week ngapi? sinema za Tom and Jerry. Napitaatapata sifa kwa wajinga wenzake tu,lakini kama anadhani miaka 5 mingi anajidanganya
nasikiliza kupitia radio tbcfm .. huku nikipiga kazi zangu jion ndo tunaangalia live , pamoja na taarifa ya habari niko hapa KCRI , moshiKwa hiyo wewe unafurahia kutokufahamu kinachoendelea bungeni?