The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,646
- 47,262
kinachosikitisha makosa haya yaliyofanyika jangwani yanaendelea kufanyika mbezi, kimara na ubungo wananchi kujenga kwenye mikondo ya mito like there is no city planner
hii mbaya sana
ni madhara ya kuendelea kuweka CCM madarakani
Nadhani kuna mambo tunaisingizia CCM.