PICHA: Athari za mvua jijini Dar es Salaam

maeneo ya kurasini hapafai na makorongo ya makontena kama unaenda maeneo hayo vaa mabuti kwani hapafai
 
Wazee wa Jangwani Meli hiyoooooo..uwanja lazima kabla ya Mwkt Manji kustaaf
 

Attachments

  • 1397306659943.jpg
    1397306659943.jpg
    54.9 KB · Views: 598
mbona sijasikia TV ya taifa ina ripoti hili janga live kama vifanyavyo vyombo vingine vya habari nchi nyingine. mpira hamrushi matukio kama haya hamrushi , labda chereko, hotuba za mafisadi na mikutano. ya wezi. huwezi ukapiga hatua yoyote kama msaliti wa kwanza katika nchi yako ni vyombo vya habari.
 
Aisee poleni sana watu wa huku duuu.
Sasa hapo si ndo mvua ikipungua kinaibuka kipindupindu.
 
boko
haya mlioaga mnaenda kimara kumbe mpo bagamoyo leo kazi mnayo
maana daraja limekatika na njia kuu imekatika michepuko leo ndiyo dili kazi mnayo
 
dah, huku Manyoni mvua znapga sema wanasherekea ili mpunga,vitunguu na maindi yao yawe pouwa... Kla nkifikiria kurud hom dsm na taarfa nnazo zpata naona bora nvunge kwanza
 
dah, huku Manyoni mvua znapga sema wanasherekea ili mpunga,vitunguu na maindi yao yawe pouwa... Kla nkifikiria kurud hom dsm na taarfa nnazo zpata naona bora nvunge kwanza

hahahaaa, na vitunguu tena?...lol!
 
kinachosikitisha makosa haya yaliyofanyika jangwani yanaendelea kufanyika mbezi, kimara na ubungo wananchi kujenga kwenye mikondo ya mito like there is no city planner

hii mbaya sana


ni madhara ya kuendelea kuweka CCM madarakani
Kwa Dar wananchi wengi hawana makosa though kuna wachache wanalazimisha kujenga sehemu zilizokatazwa, kinachotokea hapa 75% ya jiji la Dar halijapimwa hivyo hakuna utaratibu mzuri wa kujenga nyumba (unakuta nyumba nyingine imeangalia kushoto, nyingine kulia kiasi kwamba hata namna ya kuyatengenezea maji mkondo inakuwa ngumu. Ukiongeza na waliojenga kwenye mkondo wa maji ndio kabisa. Nyumba zinatakiwa zipeane mgongo yaani mtaa mmoja unaangalia magharibu au huku nyuma unaangalia mashariki alafu kunakuwa na mitaa mingine midogo midogo inaunganisha mtaa wa magharibi na wa mashariki (hapa sasa ndio inakuwa rahisi kuyatafutia maji mkondo wake na si utaratibu huu wa kujenga ili mradi kujenga)
 
Back
Top Bottom