PICHA: Athari za mvua jijini Dar es Salaam

Mburahati na mayfair leo asubuhi
 

Attachments

  • 1397298069305.jpg
    1397298069305.jpg
    46.5 KB · Views: 499
  • 1397298104858.jpg
    1397298104858.jpg
    47.6 KB · Views: 47,610
hali ni ngumu...kwetu hamna umeme tangu jana....! hivi hawajaanza kupita na chopa?
 
watu wamejenga kuzuia mikondo ya maji kwenda baharini
waboboleeni mnachakua watu
hii ndio serikali ya TANZANIA
 
LEo ni majanga kila kona. Nilikuwa na kikao na DC bagamoyo. Nimefika mapinga daraja ukingo umekatika. Nimerudi nipite Tamco kibaha nakuta foleni kali Kibamba, naambiwa daraja la Kabila ya Mizani Kibaha nalo limekatika.eeeeheh.hayo yote ukandarasi wa KI CCM.

nimepita mda huu hapo kabla ya mizani pako okay.tena nimetokea bagamoyo
 
Halafu watu wa Dar, uchaguzi ukifika, wanachagua watu walewale ambao wameshindwa kabisa kumaliza kero za mafuriko mkoani. Au hawaendi kupiga kura. Nafikiri hii hali wanaifurahia sana au wana kumbukumbu fupi sana.
 
Bagamoyo mkuu, daraja la Kiwangwa

Daaah hicho lipande chote cha kutoka Bgmoyo kwenda kiwangwa ni hatari sana hasa kipindi hiki cha mvua,nakumbuka wk tatu zilizopita gari zilishindwa kupita tukapata trekta aisee ilikua kidogo tuzame. Ushauri kwa wale wanaopenda shortcut ya hiyo barabara bora tu wazungukie Chalinze.
 
Mimi nipo dar es salaam maeneo ya mwenge mvua ni kubwa kwa wale walio maeneo mengine tufahamishane hapa hali ilivyo Huko na Tz kwa ujumla

Karibuni.
 
Huku mbez ni balaa uki kanyaga 2 nje unazama au una teleza huku ni balaa tope kila sehemu
 
nipo goms muda huu. mvua inashuka yakutosha...ila wale wa mjohe njia imefunga,ulongoni pia ambapo msimbazi inaanzia maeneo hayo hakufahi...
 
Hii mvua wala haina mpango wakupita kwa leo, hapo ulipo fanya mpngo ufike home
 
Back
Top Bottom