Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,908
- 30,253
Picha hiyo hapo chini inatoka kwenye Maktaba ya marehemu Ally Sykes.
Mimi picha hii nilikuwanayo lakini ilikuwa nakala iliyochoka kupita kiasi na ni hiyo iliyo hapo chini.
Kulia ni Haruna Iddi Taratibu (Central Province), Saadan Abdu Kandoro (Lake Province), Julius Nyerere (Eastern Province), Sheikh Mohamed Ramia (Eastern Province) na Iddi Faiz Mafungo (Eastern Province) hapo ni Dodoma Train Station 1955/56.
Mimi picha hii nilikuwanayo lakini ilikuwa nakala iliyochoka kupita kiasi na ni hiyo iliyo hapo chini.
Kulia ni Haruna Iddi Taratibu (Central Province), Saadan Abdu Kandoro (Lake Province), Julius Nyerere (Eastern Province), Sheikh Mohamed Ramia (Eastern Province) na Iddi Faiz Mafungo (Eastern Province) hapo ni Dodoma Train Station 1955/56.