Picha Adimu za TANU Kutoka Maktaba ya Marehemu Ally Sykes

Mohamed Said

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
20,908
30,253
Picha hiyo hapo chini inatoka kwenye Maktaba ya marehemu Ally Sykes.

Mimi picha hii nilikuwanayo lakini ilikuwa nakala iliyochoka kupita kiasi na ni hiyo iliyo hapo chini.

Kulia ni Haruna Iddi Taratibu (Central Province), Saadan Abdu Kandoro (Lake Province), Julius Nyerere (Eastern Province), Sheikh Mohamed Ramia (Eastern Province) na Iddi Faiz Mafungo (Eastern Province) hapo ni Dodoma Train Station 1955/56.

1658410502238.png
1658410528014.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom