Picha: ACT-Wazalendo Waitikisa Songea

Picha: ACT-Wazalendo Waitikisa Songea

Nina wasi wasi huenda Zitto na Mbowe wanahujumu Upinzani bila ya watu tunaouunga mkono kujua,haiwezekani Zitto afukuzwe wakati wa uchaguzi mkuu umekaribia wakati ushawishi wa Zitto kisiasa unafahamika,kwanini hawakumfukuza miaka kadhaa ya nyuma?Nina wasiwasi fedha za escrow zinazosemekana kuchukuliwa na hawa mabwana wawili zimeanza kuzaa matunda.Kwa mara nyingine tena Watanzania mnaingizwa chaka na hawa makanjanja wawili.Poleni sana for trusting the wrong people, Lipumba pia simwamini maana naye alishawahi kumwokoa Kikwete.Siasa za Tanzania bana yaani pasua kichwa tu.

Bas kigoma ingekuwa ngome kuu ya chadema kama zitto anaushawish kisiasa
 
Molemo accept the facts, we said mlituona wajinga......think tankers wa chadema mpaka ilipofika pale ni aina zito na prof Mkumbo. unless wewe sio frontier ndani ya chadema

Dealing with those people haikutakiwa wapayukaji kama akina Tundu Lissu, Godbless Lema na aina msigwa!! eti na za sugu!!

utaeneza chuki sana, utatumia nguvu nyingi, utatukana na kusonya, utauma meno....ila si kila unayemchukia wewe lazima achukiwe na wengine ndio siri na utashi ambao Mungu ametupa

Mbowe alitumia gharama kubwa mpaka kutunga hekaya za ajabu........ili zittto achukiwe ...lakini yako wapi?

wewe Molemo utaaandika sana habari za chuki; ila muda utakuonea aibu na kukutupa, uakimbia jukwaa

ukichukua siasa ni kama football game na timu yako imshindwa the best way ni kuangalia mmekosea wapi

Zitto kazaliwa 76 tu , ni mdogo mno na ana miaka mingi ya kuishi.....atasumbua tu, hata kama mtatumia gharama zote kumzimisha, ila ataamka tu

WIMBO WA MSALITI haulipi tena

Ninatamani sana, mbowe aseme....'zitto alienda kutoa siri hii na hii na hii kwa serikali, na CDM ikaathirika hivi na hivin na hivi'' hili hamuwezi kulisema wala kupima...............hatimaye kiasili wimbo wa usaliti unaanza kuchuja

November ACT itakuwa na wabunge wengi ( andika mahali) tena wengi kuliko chadema, kuliko nccr, kuliko cuf, etc.,ACT kitakuwa chama kikuu ch upinzani; chadema by then kitakufa tu...'maana hamna namna nyingine ya kukiokoa' kitakufa tu!

kwa nn? hamna mawazo mapya, hamna uongozi mpya, ni watu walewale, mawazo yale yale, wanafanya vile vile na kutegemea results tofauti???

Hivi kwa nini hata mara moja tukawa wakweli wa nafsi zetu kuwa Zitto alizushiwa yale kwa sababu ya mauongozi ndani ya chadema?

Hivi Lissu anajenga chama kweli??

Wimbo eti ni tawi la CCM....ni wa kujifariji tu..utachuja nao, andaa Lyrics za wimbo mwingine; utakosa utakaa kimya

Mkuu Kwa kuongeza ni kuwa mbowe alipaswa kufikiria mara mbili ni wapi walikotoka na ZITTO , ni wapi walikotoka na CHADEMA watu wameisotea sana chadema kipindi ambacho akina slaa walikuwa wamekumbatia WATAWALA , lisu na LEMA sijui walikuwa wapi . Leo hii hawa wamekaribishwa baada Ya Chedema kuimarika wanajiona wao ndo chadema Sanaa kuliko wengine Wanafaidi matunda Ya akina ZITTO .
Hii inauma San . Mbowe a litakiwa kuliona hilo mapema na kumuonya mtu kama LEMA ambaye ndiye chimbuko la haya yote .
 
Nahitaji kadi ya uanachama ACT. Niko Mozambiqui na niko tayari kuanzisha tawi huku.
 
Ndio maana ukiwa mchambuzi utagundua kuwa ACT ni mwiba kwa CCM maana kuna wanaopenda mageuzi ila hawataki kushirikiana na wakristo sasa hawa watakimbilia ACT na kuiminya mabavu CCM . Kiujumla wana CCM watarajie kumegwa kwa kura zao maana ACT watakuwa wanafanya kile CUF ilichoshindwa kufanya . CUF ilijiweka wazi mno ACT wanajificha kidogo CCM mna kazi mpaka mje kulifahamu hili mtakua mmechelewa
Mkuu you said it all!
Nilikuwa naogopa kutoa comment kama hizi isije ikaonekana nami napalilia lakini ki ukweli hiki chama mlengo wake ndo huo bila chenga! Na hili lilikuwa ni tatizo pia hata kule alikokuwa kabla. It is not going to give them a value but it is going to affect ccm big time. Kitu wanacho ambacho wanaweza wakawa wamekubaliama na ccm pengine ni kupewa majimbo machache ya ccm ila wao wasisimamisha mgombea Urasi ili kura ziende ccm. Hii inaweza kuwa karata ngumu kuicheza kwa sababu huwezi ukawa mpinzani ukawaomba watu kura za ubunge halafu ukawaambia urais muwape ccm itakuwa ngumu kwa watu kumeza. Hili linawezekana kwa wanachama wao tu ambao wako brainwashed lakini si kwa watu wasio na chama na hawaipendi ccm!
Anyway ngoja tusubiri tuone ni kamchezo gani watakatumia ili wote baba na mwana wafaidike.
 
Tunalijua hilo.

Si ndiyo kwa maana tunasema nchi hii kuna mfumo kristo??

Lakin mfumo kristo huo ndani ya ccm ni nafuu na tunapambana nao na matokeo yanaonesha very positive.

Sasa kuwapa nchi chadema ni kana kwamba tumewapa kanisa moja kwa moja.

Wewe huoni mapadre walivyojaa Chadema.

Ikulu msahau nyinyi wazandiki.

na askofu mkubwa kuliko wote wa kanisa kubwa kuliko yote yupo CCM
 
Unaonekana umati mkubwa wa watu lakini hakuna taarifa yoyote inayoonyesha kama kuna mwanachama yeyote toka CHADEMA akihamia ACT na kupewa kadi ya ACT.

Kwa kimbelembele cha ayatollar na wapambe wake kama kungekuwa na tukio la mwanachama wa CHADEMA kujiunga na chama cha ACT,tukio hilo ndilo lingebeba habari nzima kwa kuwa ACT wakifanikiwa kumpata mwanachama wa CHADEMA wanashangilia kama kipofu aliyeona mwezi.

Wangebahatika kumpata hata mwanachama mmoja tu,tungeambiwa kuwa tumepata wanachama100 toka CHADEMA,wangepata wanachama 100,hapo ndiyo tungesikia kicheko kikubwa kutoka kwa ayatollah na gego la mwisho la Mwl kaijage lingeonekana likiambatana na kichwa kikubwa cha habari kisemacho ACT yaibomoa CHADEMA.
 
Mkuu you said it all!
Nilikuwa naogopa kutoa comment kama hizi isije ikaonekana nami napalilia lakini ki ukweli hiki chama mlengo wake ndo huo bila chenga! Na hili lilikuwa ni tatizo pia hata kule alikokuwa kabla. It is not going to give them a value but it is going to affect ccm big time. Kitu wanacho ambacho wanaweza wakawa wamekubaliama na ccm pengine ni kupewa majimbo machache ya ccm ila wao wasisimamisha mgombea Urasi ili kura ziende ccm. Hii inaweza kuwa karata ngumu kuicheza kwa sababu huwezi ukawa mpinzani ukawaomba watu kura za ubunge halafu ukawaambia urais muwape ccm itakuwa ngumu kwa watu kumeza. Hili linawezekana kwa wanachama wao tu ambao wako brainwashed lakini si kwa watu wasio na chama na hawaipendi ccm!
Anyway ngoja tusubiri tuone ni kamchezo gani watakatumia ili wote baba na mwana wafaidike.
Ngonini kuna watu wanaangalia kishabiki kuanziishwa kwa ACT wanadhani ita damage upinzani, binafsi naweza kusema hata yeye (Zitto) anafikra za kuvififisha vyama vingine na kubaki chake kiking'aa na hatimaye kuwa chama kikuu cha upinzani, he is totally wrong.

Ajue anapokanyaga wenzake walishakanyaga muda mrefu wana uzoefu.

Kazi anayoifanya Zitto na ACT sawa na kazi iliyofanywa na NCCR ya Mrema miaka ya 90, Mrema alifanikiwa kuhamasisha wananchi kuikataa CCM lakini tayari watu walikuwa na maamzi yao.

Leo ACT imekuja tayari watu wana maamuzi mkononi, nasema hivi kwa sababu gani kwanza Zitto mwenyewe hagombei urais je kura za urais atazielekeza wapi kumbuka kwake itakuwa vigumu kuzielekeza CCM, vilevile ni vigumu kwa ACT kusimamisha wagombea katika majimbo yote kwa hiyo hii lazima itakuwa advantage kwa UKAWA.

Ndio maana nasema ACT ni kama imekuja kuisaidia Ukawa kuwakumbusha watu wajiandikishe baadaye waikatae CCM kwenye sanduku la kura.
 
Last edited by a moderator:
Ngonini kuna watu wanaangalia kishabiki kuanziishwa kwa ACT wanadhani ita damage upinzani, binafsi naweza kusema hata yeye (Zitto) anafikra za kuvififisha vyama vingine na kubaki chake kiking'aa na hatimaye kuwa chama kikuu cha upinzani, he is totally wrong.

Ajue anapokanyaga wenzake walishakanyaga muda mrefu wana uzoefu.

Kazi anayoifanya Zitto na ACT sawa na kazi iliyofanywa na NCCR ya Mrema miaka ya 90, Mrema alifanikiwa kuhamasisha wananchi kuikataa CCM lakini tayari watu walikuwa na maamzi yao.

Leo ACT imekuja tayari watu wana maamuzi mkononi, nasema hivi kwa sababu gani kwanza Zitto mwenyewe hagombei urais je kura za urais atazielekeza wapi kumbuka kwake itakuwa vigumu kuzielekeza CCM, vilevile ni vigumu kwa ACT kusimamisha wagombea katika majimbo yote kwa hiyo hii lazima itakuwa advantage kwa UKAWA.

Ndio maana nasema ACT ni kama imekuja kuisaidia Ukawa kuwakumbusha watu wajiandikishe baadaye waikatae CCM kwenye sanduku la kura.

Katika mikakati ya Zitto mashambulizi makubwa yatakuwa ukanda wa pwani ya Tanzania ambako ni ngome za CCM huko kuna mikoa ya tanga, pwani,na zanzibar sasa huko atapokelewa kwa mikono miwili na kuhurumiwa kuwa alikuwa akiteswa CHADEMA lakini akichukua hao wanachama wa CCM (maana CHADEMA )hawana wafuasi huko hao wafuasi watakuwa wapenzi wa CCM.Zitto anajua namna ya ku-penetrate huko na atafanikiwa sana. Kama unavyoona wana CCM wanavyomshangilia Zitto humu JF kwa vigezo vya dini na na kuiponda CHADEMA kwamba ina padri Slaa tegemea hivyohivyo katika jamii za pwani mbao nao wanaamini kwenye imani na si mageuzi
 
Mkuu Kwa kuongeza ni kuwa mbowe alipaswa kufikiria mara mbili ni wapi walikotoka na ZITTO , ni wapi walikotoka na CHADEMA watu wameisotea sana chadema kipindi ambacho akina slaa walikuwa wamekumbatia WATAWALA , lisu na LEMA sijui walikuwa wapi . Leo hii hawa wamekaribishwa baada Ya Chedema kuimarika wanajiona wao ndo chadema Sanaa kuliko wengine Wanafaidi matunda Ya akina ZITTO .
Hii inauma San . Mbowe a litakiwa kuliona hilo mapema na kumuonya mtu kama LEMA ambaye ndiye chimbuko la haya yote .
Mkuu Zitto ndiye anayetakiwa kufikiria zaidi ni wapi alitolewa na Chadema hadi kufikia hatua ya kukisaliti chama na kuanzisha chama chake,

Inauma sana kumgharimia mtoto kupata elimu baada ya kumaliza degree zake anataka kukufukuza kwenye nyumba uliyomkuzia, inatia uchungu sana TRUVADA.
 
Last edited by a moderator:
Katika mikakati ya Zitto mashambulizi makubwa yatakuwa ukanda wa pwani ya Tanzania ambako ni ngome za CCM huko kuna mikoa ya tanga, pwani,na zanzibar sasa huko atapokelewa kwa mikono miwili na kuhurumiwa kuwa alikuwa akiteswa CHADEMA lakini akichukua hao wanachama wa CCM (maana CHADEMA )hawana wafuasi huko hao wafuasi watakuwa wapenzi wa CCM.Zitto anajua namna ya ku-penetrate huko na atafanikiwa sana. Kama unavyoona wana CCM wanavyomshangilia Zitto humu JF kwa vigezo vya dini na na kuiponda CHADEMA kwamba ina padri Slaa tegemea hivyohivyo katika jamii za pwani mbao nao wanaamini kwenye imani na si mageuzi
Kwa hiyo wewe unafurahia mtu anayetumia element za udini kupata wanachama, kama atatumia kete hiyo nakuhakikishia hatafika mbali hata hao waislamu anaowategemea siku hizi wameshabadilika.
 
Kwa hiyo wewe unafurahia mtu anayetumia element za udini kupata wanachama, kama atatumia kete hiyo nakuhakikishia hatafika mbali hata hao waislamu anaowategemea siku hizi wameshabadilika.

mi sishabikii naelezea kilichopo na matokeo yake kwa CCM wanaoshabikia haya mambo ya ACT. Soma maoni ya watu wa CCM na ACT utagundua hisia za udini na ukabila utaona habari ya hawa wakatoliki, hawa wachagga , chaggadema,chagadomo , kaskazini etc . Ninachokuhakikishia watu woote waliokuwa wanapenda upinzani lakini wameelemewa na udini watahamia ACT NA KUTOKA CCM maana walikuwa CCM kwamba bora hawa kuliko hao wenye paadri
 
ACT-WAZALENDO ndo habari ya mjini, ukabila tupa kule utakuta kikako cha kamati kuu wote ni famolia moja........ alafu nimegundua wafuasi weng wa chadema si wafuatiliaji wanasubiri kauli toka kwa mbowe ndo maana yapo kama magogo hayana hoja ni kupinga tuu
 
Nnyambara, nkulumba mwana ghwa Kyala

That was stupid move ever done by CDM! katika siasa unaweza ukajifanya mjinga kwa kutaka kikubwa zaidi, unaangalia lengo kwanza na sio mtu mdogo kama zitto, they spend all money, efforts, time, and brains kucheza na zitto; wakamkomaza na kumkuza mno

they failed wakaenda kujiunga na ukawa another stupid move ever....hadhi ya chadema muda ule haikuwa ya kuungana na Mbatia ( mbunge wa kuteuliwa wa Kikwete) haikuwa ya kuungana na CUF!!

Hivi wale wanachadema wanaoona wanajua siasa, hivi kweli mnamsaidia Mbowe kufikiri?

kama ningekuwa mimi CDM na intelijinsia inaonyesha kabisa Zitto atahama, ingekuwa muda mzuri wa kuiua ACT kwa kumpa zitto ukaribu!!!!!! tangaza mmemsamehe, mpe cheo ambacho hakipo; ACT isingekuwa threat hivi!!!!!!!!!


CDM mnafikiri kwa akili zenu hizi za kipuuzi mnaweza kupewa nchi?

mnafikiri Kikwete alikuwa mjinga kumweka mwakyembe na mwandosya karibu? au kumpa uenyekiti wa tume ya katiba warioba? watu ambao ni maadui zake? he knowa politics sana zaidi ya mbowe na slaa!! hata kama tunamwona mzembe kwenye issues zingine, lakini anavyo deal na maadui zake yuko juu kikwete


ACT ni mtoto wa chadema. period kama ambavyo vyama vingine vilivyozaliwa kutoka CCM! lakini makosa ya kuanzishwa NCCR, CHADEMA, UDP, n.k na wale waliokuwa maadui wa Nyerere, CCM imebadilika na kwa miaka 23 sasa hatujaona dalili ya kuanzishwa chama kingine kutoka CCM ndio maturity

CCJ ambayo wanzilishi ni akina sita na Nape....tumeona hawa watu CCM ilivyowapaisha na kukiua CCJ kifo cha asili

CDM ni nani aliyewaroga??


ACT itakuwa itapaa ita shine, yes tuko nyuma yao wengi tu na wengi hawako humu! ni wananchi wa kawaida kabisa kila kona ya Tanzania!

Tangu 2009 mlipoanza kumtenga zitto, kimbilio lake likawa kwa wananchi na kusema yale ya wananchi.......mlipoanza kushindana naye, kwa matusi na sauti kuuu....likuwa mnashindana na wananchi na sio Zitto

Zitto aliwapa muda wa nyie kujitafakari na kujirudi, hamkufanya hivyo


ACT for life!!!
\

Nyie watu wa ACT wanafiki sana mnajifanya mnajua kuandika lakin hamna kitu yaani chama kimkumbatie mtu alie anzisha chama ndani ya chama? kama kumfukuza zitto CHADEMA itakosa kura za kwenye mitandao za watu kama nyie poa bora tusubiri miaka 20 kuliko kukaa na watu wasio waaminifu.ACT ikipata wabunge hata wawili tu najitoa JF.pICHA zenyewe zijieleza hicho sio kitu halisi
 
Back
Top Bottom