Zitto Zuberi Kabwe tusiwe washabiki tuache unafiki kweli watanzania wanamkubali, UKAWA tujipange au tumkaribishe UKAWA
Mnaodhani act itachukua kura za Ukawa sahauni!
waliokwenda kushaangaa wengi walitaka kujua huyu msaliti atasema nini kuhusu Chadema.
Wenye uwezo wa kukiua Chama cha Siasa ni Raia pekee lakini sio vyama Uchwara kama hivi act.
Mkuu Waberoya naona uko excited na picha za jana ukadhani uchaguzi ungefanyika leo ACT wangeshinda na Zitto angekuwa rais pole sana, Chadema ilicheza siasa za picha some decades ago ikaziacha leo iko field.Nnyambara, nkulumba mwana ghwa Kyala
That was stupid move ever done by CDM! katika siasa unaweza ukajifanya mjinga kwa kutaka kikubwa zaidi, unaangalia lengo kwanza na sio mtu mdogo kama zitto, they spend all money, efforts, time, and brains kucheza na zitto; wakamkomaza na kumkuza mno
they failed wakaenda kujiunga na ukawa another stupid move ever....hadhi ya chadema muda ule haikuwa ya kuungana na Mbatia ( mbunge wa kuteuliwa wa Kikwete) haikuwa ya kuungana na CUF!!
Hivi wale wanachadema wanaoona wanajua siasa, hivi kweli mnamsaidia Mbowe kufikiri?
kama ningekuwa mimi CDM na intelijinsia inaonyesha kabisa Zitto atahama, ingekuwa muda mzuri wa kuiua ACT kwa kumpa zitto ukaribu!!!!!! tangaza mmemsamehe, mpe cheo ambacho hakipo; ACT isingekuwa threat hivi!!!!!!!!!
CDM mnafikiri kwa akili zenu hizi za kipuuzi mnaweza kupewa nchi?
mnafikiri Kikwete alikuwa mjinga kumweka mwakyembe na mwandosya karibu? au kumpa uenyekiti wa tume ya katiba warioba? watu ambao ni maadui zake? he knowa politics sana zaidi ya mbowe na slaa!! hata kama tunamwona mzembe kwenye issues zingine, lakini anavyo deal na maadui zake yuko juu kikwete
ACT ni mtoto wa chadema. period kama ambavyo vyama vingine vilivyozaliwa kutoka CCM! lakini makosa ya kuanzishwa NCCR, CHADEMA, UDP, n.k na wale waliokuwa maadui wa Nyerere, CCM imebadilika na kwa miaka 23 sasa hatujaona dalili ya kuanzishwa chama kingine kutoka CCM ndio maturity
CCJ ambayo wanzilishi ni akina sita na Nape....tumeona hawa watu CCM ilivyowapaisha na kukiua CCJ kifo cha asili
CDM ni nani aliyewaroga??
ACT itakuwa itapaa ita shine, yes tuko nyuma yao wengi tu na wengi hawako humu! ni wananchi wa kawaida kabisa kila kona ya Tanzania!
Tangu 2009 mlipoanza kumtenga zitto, kimbilio lake likawa kwa wananchi na kusema yale ya wananchi.......mlipoanza kushindana naye, kwa matusi na sauti kuuu....likuwa mnashindana na wananchi na sio Zitto
Zitto aliwapa muda wa nyie kujitafakari na kujirudi, hamkufanya hivyo
ACT for life!!!
.... Kama Ni Picha Za Kweli, Basi Zito Ameanza Vyema.
Wasiwasi wa Act kiongoz wenu anajua alichofanya ndo mana hamjiamini ccm hakiwez kuwapinga mana ni chama kimoja
Kwani Zitto alifukuzwa ubunge na nani.Waberoya
Ulicho andika hapo juu kimetuingia wengi sana na ni kweli tupu!Kumfukuza mtu aliyechaguliwa na wananchi wote wenye vyama na independents ni up u u zi wa hali ya juu!
Huwa nachukia sana diwani,mwakilishi au mbunge akifukuzwa maana unayemkomoa ni mpiga kura wake
CHADEMA wasimchukulie Zitto kimasihara
Tunalijua hilo.
Si ndiyo kwa maana tunasema nchi hii kuna mfumo kristo??
Lakin mfumo kristo huo ndani ya ccm ni nafuu na tunapambana nao na matokeo yanaonesha very positive.
Sasa kuwapa nchi chadema ni kana kwamba tumewapa kanisa moja kwa moja.
Wewe huoni mapadre walivyojaa Chadema.
Ikulu msahau nyinyi wazandiki.
Ongea uongeavyo hiyo ni ccm siyo ACT iliyosimama peke yake ccm walishakiandaa hicho chama walifikir zitto akienda Act bas wale wabunge vijana watamfuata saiv mmebaki kuwa watabir mala wabunge wengi watahamia sasa sijui watahaniaje wakiwa wabunge wakat bunge linavunjwa mwaka huu wanakua raia wa kawaida had waombe tena na hata hao wakienda chadema bado itateua watu makini na kauli hizo hazihitaj ufanunuz kwa nn act ipo.
Ipo kwa ajili ya kuisaidia ccm kwa kuvunja vyama vya upinzani mana kila siku zitto kauli yake kuna wabunge watakuja na mtawangoja sana.
Na kutuambia chadema imefika kwa ajili ya zitto na mkumbo labda wewe kwa mawazo yako kwani sisi hatuoni yanayofanywa na ccm? Hao ccm wangekuwa wasafi unafikir vyama vya upinzan vingepata nafasi? Sisi wenyewe raia ndo tunataka mabadiliko kuinusuru inchi ila sio kigezo cha mtu fulan tumeshaona na kusikia utendaji wa ccm mabadiliko ni ya watu sio mtu kama watu hawapo tayar hata uwe mjenga hoja vp bado utachemka tu
Pia unatuambia Act kitakuwa chama kikuu cha upinzabi lengo lake sio kuwaondoa ccm bali ni kuwa chama kikuu cha upinzani kwa hiyo furaha ya Act ni kuwa chama cha pili baada ya ccm na si kuwakomboa watanzania.
Ukituambia uongoz ulele watu walewale kwani zitto na kitila ni watu wapya na yule mama mwenyekit ktk medani za siasa? Halafu na ww unategemea mapya kwa hao lengo kuu la hao ni uongoz na usalit nani asiyewajua?
Mammalia naona umekuja kivingineTunalijua hilo.
Si ndiyo kwa maana tunasema nchi hii kuna mfumo kristo??
Lakin mfumo kristo huo ndani ya ccm ni nafuu na tunapambana nao na matokeo yanaonesha very positive.
Sasa kuwapa nchi chadema ni kana kwamba tumewapa kanisa moja kwa moja.
Wewe huoni mapadre walivyojaa Chadema.
Ikulu msahau nyinyi wazandiki.
Nnyambara, nkulumba mwana ghwa Kyala
That was stupid move ever done by CDM! katika siasa unaweza ukajifanya mjinga kwa kutaka kikubwa zaidi, unaangalia lengo kwanza na sio mtu mdogo kama zitto, they spend all money, efforts, time, and brains kucheza na zitto; wakamkomaza na kumkuza mno
they failed wakaenda kujiunga na ukawa another stupid move ever....hadhi ya chadema muda ule haikuwa ya kuungana na Mbatia ( mbunge wa kuteuliwa wa Kikwete) haikuwa ya kuungana na CUF!!
Hivi wale wanachadema wanaoona wanajua siasa, hivi kweli mnamsaidia Mbowe kufikiri?
kama ningekuwa mimi CDM na intelijinsia inaonyesha kabisa Zitto atahama, ingekuwa muda mzuri wa kuiua ACT kwa kumpa zitto ukaribu!!!!!! tangaza mmemsamehe, mpe cheo ambacho hakipo; ACT isingekuwa threat hivi!!!!!!!!!
CDM mnafikiri kwa akili zenu hizi za kipuuzi mnaweza kupewa nchi?
mnafikiri Kikwete alikuwa mjinga kumweka mwakyembe na mwandosya karibu? au kumpa uenyekiti wa tume ya katiba warioba? watu ambao ni maadui zake? he knowa politics sana zaidi ya mbowe na slaa!! hata kama tunamwona mzembe kwenye issues zingine, lakini anavyo deal na maadui zake yuko juu kikwete
ACT ni mtoto wa chadema. period kama ambavyo vyama vingine vilivyozaliwa kutoka CCM! lakini makosa ya kuanzishwa NCCR, CHADEMA, UDP, n.k na wale waliokuwa maadui wa Nyerere, CCM imebadilika na kwa miaka 23 sasa hatujaona dalili ya kuanzishwa chama kingine kutoka CCM ndio maturity
CCJ ambayo wanzilishi ni akina sita na Nape....tumeona hawa watu CCM ilivyowapaisha na kukiua CCJ kifo cha asili
CDM ni nani aliyewaroga??
ACT itakuwa itapaa ita shine, yes tuko nyuma yao wengi tu na wengi hawako humu! ni wananchi wa kawaida kabisa kila kona ya Tanzania!
Tangu 2009 mlipoanza kumtenga zitto, kimbilio lake likawa kwa wananchi na kusema yale ya wananchi.......mlipoanza kushindana naye, kwa matusi na sauti kuuu....likuwa mnashindana na wananchi na sio Zitto
Zitto aliwapa muda wa nyie kujitafakari na kujirudi, hamkufanya hivyo
ACT for life!!!