abdalah yusuph
New Member
- May 7, 2017
- 1
- 0
Jipe moyo tu inawezekana
Kweli nilisomaga zamani,shasahau kabisa,Projectile motion sio mechanics?
Ndo yao hao ndugu zakeEquilibrium je
Mimi ilinivua nguo kabisa nilipata F... Na ndoto zangu za kuwa daktari zikaishia hapo maana ilikula muda wangu wa kutosha mwisho wa siku nikaja kuharibu kwa biology na chemistry pia![]()



...pole mzee..ulipenda usipopendwa.Projectile ni sub topic ya topic ya mechanics.Hakuna topic nyepesi kama Projectile
Projectile ni branch ya mechanicsProjectile motion sio mechanics?
Mdogo wangu hamna topics rahisi kama PROJECTILE MOTION "katika mechanics .naomba ungejaribu kurudia Topic ya motion in straight line. Mm ndo maana nasemaga
usibadili combination fanya juhudi mwaliimu akishafundisha nenda karudie taratibu mpk ujue mahali ambapo hujapaelewa halafu unatafuta msaada kwa wenzako ikishindikana unakwenda kwa mwalimu.Habari wanajamvi ??
Wanajamvi mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha nne mwaka jana(2016), ufaulu wangu katika masomo ya sayansi ni mzuri hivyo nina mipango ya kwenda Advanced level comb PCB au PCM
Lakini tangu nilipo anza kusoma physics yaani nakata tamaa maana kuna ki subtopic kinaitwa PROJECTILE MOTION yaana kila nikifanya swali lake nakosa. Please wanajamvi naombeni ushauri wenu katika somo hili.
Maana kubadilisha comb siwez sababu nilisoma TECHNICAL SCHOOL hivyo siwez soma comb za art wala CBG.
usibadili combination fanya juhudi mwaliimu akishafundisha nenda karudie taratibu mpk ujue mahali ambapo hujapaelewa halafu unatafuta msaada kwa wenzako ikishindikana unakwenda kwa mwalimu.Habari wanajamvi ??
Wanajamvi mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha nne mwaka jana(2016), ufaulu wangu katika masomo ya sayansi ni mzuri hivyo nina mipango ya kwenda Advanced level comb PCB au PCM
Lakini tangu nilipo anza kusoma physics yaani nakata tamaa maana kuna ki subtopic kinaitwa PROJECTILE MOTION yaana kila nikifanya swali lake nakosa. Please wanajamvi naombeni ushauri wenu katika somo hili.
Maana kubadilisha comb siwez sababu nilisoma TECHNICAL SCHOOL hivyo siwez soma comb za art wala CBG.
Yah inafuata coz projectile ni two dimensional motion I.e horizontal and vertical motions, that's in many cases tunatumia concepts za equations of motion kusolve problemsKwani projectile motion inafuata straight line?
Shukrani sana kakausibadili combination fanya juhudi mwaliimu akishafundisha nenda karudie taratibu mpk ujue mahali ambapo hujapaelewa halafu unatafuta msaada kwa wenzako ikishindikana unakwenda kwa mwalimu.
ukishaelewa unapaswa kufanya mazoezi mengi sana ili kuweka concept kwenye fingertip.
kuna uhusiano kati ya rafu pepar utakazotumia kusolve na ufaulu katiak masomo ya sayansi solve sana yaani lakini baada ya kuelewa.ukianza mazoezi kabla hujaelewa utajikuta kila swali unalogusa likakushinda na ni rahisi sana kukata tamaa
pia inawezekana unasoma tution mahali
Shukran sana mkuu ntafanyia kaziMdogo wngu komaa na shule usikate tamaa mapema hii ni dhambi kubwa ambayo utaifanya kukata tamaa, pigana jitahid kutengeneza concepts ya vitu unavyofundishwa utaona mambo yanakuja kunyookaa.
But kwa ulimwengu wa PHYSICS unahitajika kuwa na ushirikiano nayo ili ikupendee there's no way u can deal wit it by your own cz mambo ni mengi, try your best level kuhakikisha unatengeneza kampan ya kutosha ili kupambana nayo.
All the best doctor
Duuuhhh kaka yangu alikua Head boy Azania alichukua PCM ila hakufanya mtihani kabisaaa. Ila usiku anakesha anasoma analala mida mibovu siku ya mtihani alikuwa anakodiwa [HASHTAG]#Tax[/HASHTAG] kumpeleka na kumludisha kumbe alikua akishuka sijui alikua anaelekea wapi. Mwisho wa siku majibu yametoka kipindi icho majibu hadi kwenye (GAZETI) au ufike shule. Home tukawa tunanunua kila aina ya gazeti hatuoni jina na yeye anatafuta. Ilibidi tuende shule kuuliza why kumkuta mkuu wa shule anasema uyu anamiezi 8 hajaulizia shule, mama alilia sana hakuamini kilichotokea.