Physics ya A- Level inanitesa

Physics ya A- Level inanitesa

Nakumbuka kubeba vitabu vikubwa kubwa hadi bega linauma..roger mancaster,college engineering,tom duncan,nelcon...unaenda prep..unarudi umesolve maswali 2 right out of 10...aisee..
 
Mdogo wangu hamna topics rahisi kama PROJECTILE MOTION "katika mechanics .naomba ungejaribu kurudia Topic ya motion in straight line. Mm ndo maana nasemaga "problem is not how to acquired the concept but the problem is how to implement the concept on solving different Kind of problems
 
Habari wanajamvi ??

Wanajamvi mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha nne mwaka jana(2016), ufaulu wangu katika masomo ya sayansi ni mzuri hivyo nina mipango ya kwenda Advanced level comb PCB au PCM

Lakini tangu nilipo anza kusoma physics yaani nakata tamaa maana kuna ki subtopic kinaitwa PROJECTILE MOTION yaana kila nikifanya swali lake nakosa. Please wanajamvi naombeni ushauri wenu katika somo hili.

Maana kubadilisha comb siwez sababu nilisoma TECHNICAL SCHOOL hivyo siwez soma comb za art wala CBG.
usibadili combination fanya juhudi mwaliimu akishafundisha nenda karudie taratibu mpk ujue mahali ambapo hujapaelewa halafu unatafuta msaada kwa wenzako ikishindikana unakwenda kwa mwalimu.
ukishaelewa unapaswa kufanya mazoezi mengi sana ili kuweka concept kwenye fingertip.
kuna uhusiano kati ya rafu pepar utakazotumia kusolve na ufaulu katiak masomo ya sayansi solve sana yaani lakini baada ya kuelewa.
ukianza mazoezi kabla hujaelewa utajikuta kila swali unalogusa likakushinda na ni rahisi sana kukata tamaa
pia inawezekana unasoma tution mahali ambapo hakuna kuuliza maswali na walimu wengine wako fasta wamalize topic
 
Habari wanajamvi ??

Wanajamvi mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha nne mwaka jana(2016), ufaulu wangu katika masomo ya sayansi ni mzuri hivyo nina mipango ya kwenda Advanced level comb PCB au PCM

Lakini tangu nilipo anza kusoma physics yaani nakata tamaa maana kuna ki subtopic kinaitwa PROJECTILE MOTION yaana kila nikifanya swali lake nakosa. Please wanajamvi naombeni ushauri wenu katika somo hili.

Maana kubadilisha comb siwez sababu nilisoma TECHNICAL SCHOOL hivyo siwez soma comb za art wala CBG.
usibadili combination fanya juhudi mwaliimu akishafundisha nenda karudie taratibu mpk ujue mahali ambapo hujapaelewa halafu unatafuta msaada kwa wenzako ikishindikana unakwenda kwa mwalimu.
ukishaelewa unapaswa kufanya mazoezi mengi sana ili kuweka concept kwenye fingertip.
kuna uhusiano kati ya rafu pepar utakazotumia kusolve na ufaulu katiak masomo ya sayansi solve sana yaani lakini baada ya kuelewa.ukianza mazoezi kabla hujaelewa utajikuta kila swali unalogusa likakushinda na ni rahisi sana kukata tamaa
pia inawezekana unasoma tution mahali
 
Soma unacho elewa ww icho icho kitakuvusha na kukusaidia kufikia malengo yako
 
Kwani projectile motion inafuata straight line?
Yah inafuata coz projectile ni two dimensional motion I.e horizontal and vertical motions, that's in many cases tunatumia concepts za equations of motion kusolve problems
 
Dah nimekumbuka mziki wa physics Advance inabidi ukaze sana,topic kama waves,mechanics sio mchezo nilikomaa sana mwisho nikaambulia c
 
Mdogo wngu komaa na shule usikate tamaa mapema hii ni dhambi kubwa ambayo utaifanya kukata tamaa, pigana jitahid kutengeneza concepts ya vitu unavyofundishwa utaona mambo yanakuja kunyookaa.

But kwa ulimwengu wa PHYSICS unahitajika kuwa na ushirikiano nayo ili ikupendee there's no way u can deal wit it by your own cz mambo ni mengi, try your best level kuhakikisha unatengeneza kampan ya kutosha ili kupambana nayo.

All the best doctor
 
usibadili combination fanya juhudi mwaliimu akishafundisha nenda karudie taratibu mpk ujue mahali ambapo hujapaelewa halafu unatafuta msaada kwa wenzako ikishindikana unakwenda kwa mwalimu.
ukishaelewa unapaswa kufanya mazoezi mengi sana ili kuweka concept kwenye fingertip.
kuna uhusiano kati ya rafu pepar utakazotumia kusolve na ufaulu katiak masomo ya sayansi solve sana yaani lakini baada ya kuelewa.ukianza mazoezi kabla hujaelewa utajikuta kila swali unalogusa likakushinda na ni rahisi sana kukata tamaa
pia inawezekana unasoma tution mahali
Shukrani sana kaka
 
Mdogo wngu komaa na shule usikate tamaa mapema hii ni dhambi kubwa ambayo utaifanya kukata tamaa, pigana jitahid kutengeneza concepts ya vitu unavyofundishwa utaona mambo yanakuja kunyookaa.

But kwa ulimwengu wa PHYSICS unahitajika kuwa na ushirikiano nayo ili ikupendee there's no way u can deal wit it by your own cz mambo ni mengi, try your best level kuhakikisha unatengeneza kampan ya kutosha ili kupambana nayo.

All the best doctor
Shukran sana mkuu ntafanyia kazi
 
Kwahiyo physics ndo ilimkimbiza skonga..??
Aisee pole yake, ila hili lisomo ni noma sana
Duuuhhh kaka yangu alikua Head boy Azania alichukua PCM ila hakufanya mtihani kabisaaa. Ila usiku anakesha anasoma analala mida mibovu siku ya mtihani alikuwa anakodiwa [HASHTAG]#Tax[/HASHTAG] kumpeleka na kumludisha kumbe alikua akishuka sijui alikua anaelekea wapi. Mwisho wa siku majibu yametoka kipindi icho majibu hadi kwenye (GAZETI) au ufike shule. Home tukawa tunanunua kila aina ya gazeti hatuoni jina na yeye anatafuta. Ilibidi tuende shule kuuliza why kumkuta mkuu wa shule anasema uyu anamiezi 8 hajaulizia shule, mama alilia sana hakuamini kilichotokea.
 
Physics sio projectile only, wewe jitahidi uielewe tu ila upambane sana kuisoma na kufanya maswali mengi by the way in your final physics exam projectile is among the optional questions you can choose it if you have mastered it or you can leave it and do those which you are capable of. Ila sometimes unaweza usiwe na option nyingine hapo ndo unakubidi ujitoe muhanga kulifanya tu bila kupenda.
 
Utafute na kitabu kinaitwa Rogers muncaster upige maswali ya projectile, ukiweza hayo utakua umeiva
 
Back
Top Bottom