Noma sana yani jamaa ni anajua sio utanimoja ya maproffesor niliokua nafuatilia sana lectures zake, mzee yupo lafu lafu lakini deep vibayaaa
NitafuteHabari wanajamvi ??
Wanajamvi mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha nne mwaka jana(2016), ufaulu wangu katika masomo ya sayansi ni mzuri hivyo nina mipango ya kwenda Advanced level comb PCB au PCM
Lakini tangu nilipo anza kusoma physics yaani nakata tamaa maana kuna ki subtopic kinaitwa PROJECTILE MOTION yaana kila nikifanya swali lake nakosa. Please wanajamvi naombeni ushauri wenu katika somo hili.
Maana kubadilisha comb siwez sababu nilisoma TECHNICAL SCHOOL hivyo siwez soma comb za art wala CBG.
Shukran sana mkuu mungu akulipe


pole sanaHabari wanajamvi ??
Wanajamvi mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha nne mwaka jana(2016), ufaulu wangu katika masomo ya sayansi ni mzuri hivyo nina mipango ya kwenda Advanced level comb PCB au PCM
Lakini tangu nilipo anza kusoma physics yaani nakata tamaa maana kuna ki subtopic kinaitwa PROJECTILE MOTION yaana kila nikifanya swali lake nakosa. Please wanajamvi naombeni ushauri wenu katika somo hili.
Maana kubadilisha comb siwez sababu nilisoma TECHNICAL SCHOOL hivyo siwez soma comb za art wala CBG.
Kweli kabisa sisi zamani tumepata shida. Sasa ivi kina mgote na kina Mbuga mchikichini wapo, wanafundisha na ku googleuna raha sana unasoma kipindi ambacho kuna google,u tube una smart phone matuition yapo kibao walimu wa physics wapo kibao ila unasema bado inakusumbua dah aisee ungesoma kipindi chetu jee hi physics kaza kijana komaa acha kulialia...
Equilibrium jeKomaa,kuna mechanics inakusubiri
Komaa,kuna mechanics inakusubiri
Namie nimeshangaa, ila kwakuwa imepita miaka 7 tangu nisome Advance, nikadhan ilishabadilika. Ikabidi nikae tu kimya kwanza.Projectile motion sio mechanics?