Philosophy is a disease for both theists and atheists

Philosophy is a disease for both theists and atheists

That's an etymological meaning and not technical. If you defi
Whatever it might be still the sun will rise and set and waters from the river will still flow,its only jargons will be added to impress the ego of a fearful being
 
Falsafa unajua imeanza lini?kazi ya falsafa ni kulisha akili yako matumaini kuwa unajitambua na una uwezo wa kudadavua na ya kuelewa mazingira ,lakini kiuhalisia ni kinyume chake
Toka kuanza kwa maisha ya viumbe
Toka Mwanadamu kuanza kujitambua
Toka jamii zilivyoanza ishi pamoja
 
Siwezi kufa form yangu ndo inakufa na kubadilika ,sasa ntakufaje?ni mwili ndo unakufa sio mimi,mimi ni uwepo tu ndani ya mwili,na ubongo ndo keyboard na monitor yangu dats all
Hii ni kujilisha upepo
Mzee unatumia new opium
Hii yako ni zaidi ya dini.

Wewe ni nani?
 
Toka kuanza kwa maisha ya viumbe
Toka Mwanadamu kuanza kujitambua
Toka jamii zilivyoanza ishi pamoja
Maisha yameanza lini?na ni nani au nini kimekutaarifu maisha yalianza?
 
Whatever it might be still the sun will rise and set and waters from the river will still flow,its only jargons will be added to impress the ego of a fearful being
Philosophy can't be whatever. It Is definite. It's a knowledge of all that is knowable by the power of reason.
 
Haya ya fundamental biology tuwaachie form 3 huko,mwanasayansi anakuambia what he sees not what it is
Inaonekana
Umeisoma biology mwisho o- level.
Pole

Kwa hiyo Wanasayansi waliona?
Electricity
Positive na Negative charges
Heat
Bing bang theory
Crunch theory
Energy (kinetic energy and static energy)
Photon's
Electron's
Neutron's
Proton's
Radiation
Ultra Violet light
Frequency

Kumbuka Kuna Cause and effect ya kila kitu.
Halafu alikuambia nani mpaka waone?
 
Maisha yameanza lini?na ni nani au nini kimekutaarifu maisha yalianza?
3.5 billion Miaka iliyopita.
Kumbuka yalianza katika unicellular level.

It's a scientific fact.
Binadamu ana miaka 200,000 kuanzia Homo sapiens species.
 
Ndugu mleta mada
Hoja yako inamashiko kweli kweli lakini utakutana na upinzani mkali wa hoja and trust me u will fail
Kwa sababu umeizungumzia falsafa kwa ujumla badala ya ku specialize kwenye kipengele husika.
 
Inaonekana
Umeisoma biology mwisho o- level.
Pole

Kwa hiyo Wanasayansi waliona?
Electricity
Positive na Negative charges
Heat
Bing bang theory
Crunch theory
Energy (kinetic energy and static energy)
Photon's
Electron's
Neutron's
Proton's
Radiation
Ultra Violet light
Frequency

Kumbuka Kuna Cause and effect ya kila kitu.
Halafu alikuambia nani mpaka waone?
Kwani ni vipofu?
wanasayansi are just trying to open a giftbox,inside it everything is there,ndo maana sasa hivi ni chaos tupu halafu usibabahike mi sijaenda shule kabisa usiwe na wasiwasi ,science is simple it just uses complex words to make it special,na hio ndo kazi ya mind to feel special,extra ordinary and complex,mabibi zetu wameishi kwa afya na miaka kibao hakuna mahospitali wala mashule unaleta ,systematic chaos ambazo hazikusaidii zinafanya tu watu wawe wajinga na kuwadepopulate
 
Ndugu mleta mada
Hoja yako inamashiko kweli kweli lakini utakutana na upinzani mkali wa hoja and trust me u will fail
Kwa sababu umeizungumzia falsafa kwa ujumla badala ya ku specialize kwenye kipengele husika.
Ni kweli ila nimewaambia huo mjadala wao wa Mungu falsafa kamwe haitawapa jibu ni hilo tu,ila sina shida na falsafa
 
Mimi si atheist wala theist na kwenye mabishano yenu ambayo ni endeless hayanisaaidi.

Nijibu swali langu can everything be without nothingness?

Yes/no

sio unatumia philosophical tricks kukwepa maswali,hizo kajanja ni zako ni hazinisaidii chochote ,jibu huwezi stay quiet
Wewe hukubali logic na philosophy, unajua swali la Yes/No tayari ni swali la logic?
 
Day dreamer
Everybody is a day dreamer life in the world is a dream,wewe ukiwa unaota usiku ukiwa kwenye ndoto muda ule unaota unajua kuwa hapa naota?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom