Philemon Luhanjo ni Mwizi-Norway’s newspaper

Philemon Luhanjo ni Mwizi-Norway’s newspaper

Close associate of JK!!yaani kwa wazungu hapo maana yake they suspect rais anahusika ingawa hawajamtaja direct

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ukoo wa panya!!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Rais Kikwete yupo karibu na watu wengi, katiba imemruhusu kuchagua viongozi wengi tu serikalini kuanzia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wilaya, Wakuu wa Wizara na wengine.

Ufisadi kafanya Philemon Luhanjo, lawama umpe JK una ukili kweli wewe.

Ipo siku wajanja watakupora mke wako lawama zote utampa Kikwete.

Teh teh teh ritz damu nzito kuliko maziwa.
 
...wamezoea kumwafua kwenye shamba la bibi wabongo tunaugulia ndani,wachache tunaropoka, sasa wamegusa vya watu wasioangalia cheo wala raisi,wala magazeti yao hayafungiwi kijingajinga,wao wanakupa za uso tu. sasa mzee wangu yamemkuta. sasa swali, kama mteule wa raisi, ambaye kabala ya kupewa nafasi raisi anauwezo wa kupata taarifa zake zoooote lakini bado anapewa nafasi nyeti, hii inanipa wasiwasi sana juu ya uadilifu wa ofisi ya magogoni,hii ni fedheha kwa taifa ,tumevuliwa nguo kabsaaa....
 
kuna watu hapa ninadiriki kuwaita mbwa kwa kuwa wamekosa uzalendo na watumwa wa kifikra na mawazo.hapa jf sijawahi kusikia,kuona wala thread ikiwatuhumu wazungu kuiba rasilimali,kudhalilisha utu wa mtanzania.kama luhanjo amechukua pesa amerudisha pesa/mali walizotuibia wazungu na kama wanataka report basi na wao walete report ya rasilimali walizotuibia.pambavu!

your god must be crazzy
 
Hii ni aibu kubwa kwa serikali. Huyu mzee si alishastaafu...?
 
Haya manyang'au ya CCM ni wevi, walafi na hayana hata uso wa aibu na huruma...yanakula bila kuogopa au kuchoka na yajiandae, yatakula sana hadi udongo siku ya kufa...watoto wa jamii ya tanzania wanaoteswa na njaa na umaskini, watcheza na kushangilia juu ya makaburi Yao...CCM ni wafu wanaotembea.

CCM na UFISADI ni kama kuku na yai. Utawala wa CCM ni uzao wa ufisadi. Jamani tuepukane na aibu hii mwaka 2015. Tutaendelea kukamuliwa na hawa mumiani mpaka lini. Ni suala la kuamua kusuka au kunyoa--ama tuzembee kuwaondoa 2015 ili tujikomboe na huu unyonyaji au tuendelee kuwa nao lakini tusinung'unike huu unyonyaji unapotokea. Wote semeni: CCM na mafisadi wake ni janga la kitaifa.
 
Haya mamjamaa yangeweza kusema 'basi yaishe tunawarudishia pesa zenu' lakini wazungu wanataka accountability na aina ya majibu waliyokwishatoa walivyohojiwa, ni wazi hii pesa ndogo (kwa kiwango cha ufisadi wa Tanzania) itawatokea kubaya na huenda wakahadhirika!
 
watoto wa luhanjo pekee ndio watawaeleza hili na wapi zilipo pesa hizi
napita tu
 
Mchagga yupi aliwahi toka kazini salama? Ila sasa hawa wenzetu wanaichafua nchi licha ya kuimaliza.
 
Luhanjo kuwa karibu na JK katika utumishi wa serikali haimaanishi kuwa Luhanjo ni malaika,Hata Yuda alimgeuka yesu akiwa moja ya wanafunzi wake watiifu na kumuuza.CCM hatuna tabia ya kuoneana aibu wala kufumbiwa macho madudu.Hayo mambo yako huko kwenu mnakoburuzwa kama misukule.CCM ni maslahi ya chama na mtu baadae kwani hata huyo JK akimaliza muhula wake atakuja mwengine kuongoza chama na serikali.CCM hakuna mwenye haki miliki na chama kama ilivyokuwa Chadema chenye sura ya ukanda na wenye kukimiliki binafsi.

wewe utang'olewa meno na wenzako shauri yako. hata hivyo kwani hujui huko ccm Kuna ufisadi na mafisadi na hawawezi hata kuulizwa kwakuwa wakiguswa nchi itayumba???
 
naomba wa finish wamkomalie alidhan ni za kule serikalin unaiba tu bila kuulizwa.... huyu jamaa si ndio aliyemrudisha jairo baada ya kuondolewa?
 
Mvi zingine sio alama ya busara alizonazo mtu wengine ni alama ya wizi mkubwa mkubwa!
 
soma vizuri hapo kwamba ni close man with jakaya kikwete.

Sasa sijui kama una guts za kumchana jk, je ujila wa buku 7 utalipwa na nani? Si ndio mwanzo wa kukimbia mji huu.

wait a minute?huyu deo-gratia gamassa na rawson yonazi ni watanzania??sio wahamiaji haramu hawa???WATANZANIA ACHENI KUKENUA SASA.ACHENI JAMANIIIIIIIIIII.
 
Back
Top Bottom