Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,530
- 43,913
Rais Kikwete yupo karibu na watu wengi, katiba imemruhusu kuchagua viongozi wengi tu serikalini kuanzia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wilaya, Wakuu wa Wizara na wengine.Soma vizuri hapo kwamba ni close Man with Jakaya Kikwete.
Sasa sijui kama una guts za kumchana Jk, je ujila wa buku 7 utalipwa na nani? Si ndio mwanzo wa kukimbia mji huu.
Ufisadi kafanya Philemon Luhanjo, lawama umpe JK una ukili kweli wewe.
Ipo siku wajanja watakupora mke wako lawama zote utampa Kikwete.