Philemon Luhanjo ni Mwizi-Norway’s newspaper

Philemon Luhanjo ni Mwizi-Norway’s newspaper

Hayo ndo maccm bhana!!!
A.k.a ukoo wa panya.
Hakuna cha kushangaza hapo.
 
Rais Kikwete yupo karibu na watu wengi, katiba imemruhusu kuchagua viongozi wengi tu serikalini kuanzia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wilaya, Wakuu wa Wizara na wengine.

Ufisadi kafanya Philemon Luhanjo, lawama umpe JK una ukili kweli wewe.

Ipo siku wajanja watakupora mke wako lawama zote utampa Kikwete.

Luhanjo ni mteule wa Rais. Unapokuwa mteule wa rais unatakiwa ufanye kazi kwa uadilifu na nidhamu ya hali ya juu kwakuwa once a mistake utakuwa umekinajisi kiti cha rais. Sasa Luhanjo ameandikwa historia yake. Wanetoka mbali na rais. Kaiba vidola hivyo, rais anajua, Audit report wameikalia bado unataka Rais aainajisike?! Utakuwa mwehu basi!! Hakuna namna unaweza kumwacha rais kwenye hili tope. Kwa Kifupi JK marafiki zake wa karibu karibia 98% ni wezi. Anza na Mtawa, huyo Luhanjo, Chenge, Rostam, Karamagi wengine malizia mwenyewe. Mwenyekiti wa CCM ni Mwizi. Sera ya CCm ni wizi.
 
Luhanjo ni mteule wa Rais. Unapokuwa mteule wa rais unatakiwa ufanye kazi kwa uadilifu na nidhamu ya hali ya juu kwakuwa once a mistake utakuwa umekinajisi kiti cha rais. Sasa Luhanjo ameandikwa historia yake. Wanetoka mbali na rais. Kaiba vidola hivyo, rais anajua, Audit report wameikalia bado unataka Rais aainajisike?! Utakuwa mwehu basi!! Hakuna namna unaweza kumwacha rais kwenye hili tope. Kwa Kifupi JK marafiki zake wa karibu karibia 98% ni wezi. Anza na Mtawa, huyo Luhanjo, Chenge, Rostam, Karamagi wengine malizia mwenyewe. Mwenyekiti wa CCM ni Mwizi. Sera ya CCm ni wizi.

umemaliza mkuu wangu .....sina la zaidi labda kidogo nikamilishe lile jina lao......UKOO WA PANYA......
 
Luhanjo ni mwizi na amefundishwa na ccm namba one kwa wizi
 
Miviongozi yote CCM mijizijizi tu,sasa imekuwa kawaida kuiba na ni hawa wamejitahidi kutoa ukweli.hii ni mojawapo kati ya Pesa nyingine sana za misaada zinazotiwa ndani.kuna kipindi SIDA walituma dola kibao kwenye NGO moja uchwara,Wikipedia moja baadae wakaiona ile pesa yoote imeingizwa kwenye acc ya mtu binafsi UK.hawakusema kitu ila wamejifunza
 
Sheria za China zikiletwa Tanzania basi ujue safu ya uongozi wa juu Chadema hakuna atakaebaki.Ruzuku peke yake itasababisha wote kuchezea kitanzi acha pesa za wafadhili,wake za watu na ulaghai

We umeona karuzuku ka CDM ka milion 100+,
Umewahi kuiulizia Ruzuku ya CCM ya Bilioni +? yaani TSh 1,000,000,000+
Kwa taarifa yako, Mbali na ruzuku ya CCM ya zaidi ya Bilioni moja kila mwezi CCM ina vitegauchumi vinavyoingiza zaidi ya 2Bilion kwa mwezi. Achilia mbali wizi wa ccm na serikali yake unaofanywa kwa style ya EPA. Yet viongozi wa wilaya wanaishi kama panya. Ukisikia leo wamelipwa mshahara basi ujue ni wa mwezi wa pili mwaka jana.
Akina Nape wana wabeza wanawaita Post paid.

Unang'ang'ana na ruzuku ya Mil 100 kwa mwezi unaacha kuhoji BILIONI 3 kwa mwezi?
Yet Rais ANAIBA hadi pesa za Mazingira...!!
 
Jamani
Mpaka wafadhili wanajua kwamba Rais anakula na mafisadi,anayalinda,ni marafiki zake?

Wanaiba fedha za wafadhili?

hii hajaanza leo huu ni mwendelezo ....
CCM ni ukoo wa" panya ",makokoi,fiko,ngayaya,vibobori......
 
Sheria za China zikiletwa Tanzania basi ujue safu ya uongozi wa juu Chadema hakuna atakaebaki.Ruzuku peke yake itasababisha wote kuchezea kitanzi acha pesa za wafadhili,wake za watu na ulaghai

tumia akili achana na mat.ko yafanye kazi yake..
 
tuna imaaani na mafisaaadi
"maitikia "oyaaa oyaaa oyaaa
tuna imaani na sisiemuuu_
oyaaa oyaaaa oyaaaa.......
 
ccm hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeechama cha masogange. hoyeeeeeeeeeeee#$#$$####$###;^/&^/@##$$$
.....zao wote..
 
Gazeti halisemi Luhanjo ni mwana ccm, Gazeti linasema MWiZI Lihanjo ni best friend wa Mwenyekiti wa CCM taifa. JK ni rafiki wa majizi. JK ni Mwizi. So CCM inaongozwa na MWIZI.

Mkuu,
Hii inanikumbusha kale ka usemi ka shangazi zake na huyo chizi wa maccm anayemtetea jizi kuu kanakosema; nitajie rafiki yako ntakwambia tabia yako.
so jk is typically a bandit
 
luhanjo hakuwahi kuwa ccm ni mtumishi wa serikali.sio wote waliopo serikalini ni ccm

leo umenifurahisha sanaaaa...ila naona umesahau kuwa "ili uwe nafasi za juu kama hizo za kina luhanjo ni lazima "uwe mwenzao" na hao waliounda hiyo siri-kali yao.... Huwezi kutenganisha maovu ya watendaji wa serikali inayoongozwa na ccm na wao watendaji kuwa ccm maana wanatekeleza ilani ya chama kilichoko madarakani yaani ccm.

Au unataka kuniambia serikali ya ccm inaweza kuwatumia kina slaa na mbowe na zito kuwa makatibu wakuu..ahahahaa..jaribuni muone mutakavyotiana bakora na midole ya macho kwa ugomvi....mangula kuongozwa na mdee anataka kuhama mtaa itakuwaje leo katibu mkuu akiwa mbowe sindio jeikei atahama nchi kabisaaa kupinga chama chake kumuwekea msaidizi wa upinzani.

Baba mnalo hiloooo...elezeni pesa ya wazungu ipo wapi na muirudishe yaishee..mizee mizima mviiii kibao ila mijizi tuuu.

Nafanya research nyepesi kuhakiki kama "ukiwa ccm na una mvii kibao inaashiria ni fisadi balaa..the case of lowasa na luhanjo"
 
View attachment 116377
Wildlife Conservation Society of Tanzania's links with national authorities were strengthened when Philemon Luhanjo took over as chairman and chief executive officer of WCST. Luhanjo is a close associate of Tanzania's president Jakaya Kikwete, and was previously secretary general of the Presidential Office and the President's spokesman.
President's men took over, Norwegian aid money disappeared

Norwegian authorities paid US$1.2 million to the Wildlife Conservation Society of Tanzania. Much of this can not be explained. Five countries are now investigating the environmental organisation.
.

Mzee mzima Luhanjo 'amepiga' USD 1,200,000 (Ambayo ni sawa na shlingi za kitanzania Bilioni 1.9)...!!!

Hapo akipeleka sh. milioni 500 Lumumba kwa Nape Nnauye kwa ajili ya allowances za akina Ritz na ZeMarcopolo, anabakiwa na Sh. billioni 1.4 !!!!!!!

Hii ndio Tanzania..!!!!
 
Hivi kwa serikaqli hii halamu unafikiri ni nani aliye msafi? Ndiyo maana viongozi wetu wanakuwa watu wa kwanza kushadadia suala la kujitoas ICC kwakuwa wanafahamu vyema kuwa siku moja tutawafunga minyororo barabarani kweupe na kuwaburuza mitaani.
 
Kuna watu hapa ninadiriki kuwaita mbwa kwa kuwa wamekosa uzalendo na watumwa wa kifikra na mawazo.Hapa JF sijawahi kusikia,kuona wala thread ikiwatuhumu wazungu kuiba rasilimali,kudhalilisha utu wa mtanzania.Kama Luhanjo amechukua pesa amerudisha pesa/mali walizotuibia wazungu na kama wanataka report basi na wao walete report ya rasilimali walizotuibia.Pambavu!
 
Waache wanorway walie hizo pesa ni za kwetu report wataipata kuzimu
 
Back
Top Bottom