Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Hivi kwa trend hii....mr dhaifu hayumo kweli? Kwa maana huwezi kuwa na rafiki ambae mnatofautiana interest
Mazoea ya funikafunika mwanaharamu apite huko kwa wenzatu ni uwazi katika uwajibikaji na matumizi ya madafu yao, sasa na uzee huu mtu unaaibika kihivyo jamani. Huenda ndio pesa hizo anazozitumia kuendeshea mashamba ya vitunguu na mpunga anayolima huko Wanging'ombe, mkoa wa Njombe.
Weeeeee CCM ndio ya kulaumiwa! Wamepewa madaraka ya nini sasa kama hawachukui hatua kwa watumishi wao wakitenda hovyo?Luhanjo hakuwahi kuwa CCM ni mtumishi wa serikali.Sio wote waliopo serikalini ni CCM
Nani atawawajibisha wakati muwajibishaji naye ni kama wawajibishwaji? Read between the lines "Luhanjo is a close associate of Tanzanias president Jakaya Kikwete,..."
Luhanjo kuwa karibu na JK katika utumishi wa serikali haimaanishi kuwa Luhanjo ni malaika,Hata Yuda alimgeuka yesu akiwa moja ya wanafunzi wake watiifu na kumuuza.CCM hatuna tabia ya kuoneana aibu wala kufumbiwa macho madudu.Hayo mambo yako huko kwenu mnakoburuzwa kama misukule.CCM ni maslahi ya chama na mtu baadae kwani hata huyo JK akimaliza muhula wake atakuja mwengine kuongoza chama na serikali.CCM hakuna mwenye haki miliki na chama kama ilivyokuwa Chadema chenye sura ya ukanda na wenye kukimiliki binafsi.
Kuna watu hapa ninadiriki kuwaita mbwa kwa kuwa wamekosa uzalendo na watumwa wa kifikra na mawazo.Hapa JF sijawahi kusikia,kuona wala thread ikiwatuhumu wazungu kuiba rasilimali,kudhalilisha utu wa mtanzania.Kama Luhanjo amechukua pesa amerudisha pesa/mali walizotuibia wazungu na kama wanataka report basi na wao walete report ya rasilimali walizotuibia.Pambavu!
Ngoja hii niifuatilie vema nikipata data zaidi nije kumchana jf hakuna cha kuficha.
Nani kasema? Acha tabia ya Mbuni kufukia kichwa kwenye mchanga wakati mwili wote upo nje.Luhanjo hakuwahi kuwa CCM ni mtumishi wa serikali.Sio wote waliopo serikalini ni CCM
kwani Luhanjo ni wa Chadema? Halafu wewe dume jike, mbona kuuliza eti wakuletee link. Hocus pocus nani akufanyie kazi hii?!! kwanini usiingie mwenye kwenye mitandao ya magazeti ya Norway upate kusoma! Au bado tu huamini kuwa ccm wote ni ukoo wa panya? Kama ni hivyo lala pembeni, tupishe watanzania wazalendo, wapenda nchi yetu labda wewe ni msomali usiojua kuwa ccm wote ni wezi! Mleta mada kadadabua gazeti lililoandikwa nchi nyingine, ukitaka ukweli juu ya link ya gazeti hilo tafauta mwenyewe. Mbona sisi wengine tumehangaika na kufanikiwa kuliona gazeti hilo. Kama shida ni lugha kaulize ccm waliokupeleka shule za kata, kama wewe ni msomali uliyesomeshwa hapa Tanzania.Huyo mtu kajiandikia kwenye gazeti kama yeyote anaeweza kuandika. Tupe link tukasome wenyewe.
Halafu, gazeti la Norway linaandikwa Kiingereza?
episodes tunataka majibu.
Ngoja hii niifuatilie vema nikipata data zaidi nije kumchana jf hakuna cha kuficha.
corruption +corruption every day corruption+corruption what's this? jaman Tanzania hakuna zuri wizi tu daily tunaenda wapi xaxa?