Ngoja hii niifuatilie vema nikipata data zaidi nije kumchana jf hakuna cha kuficha.
Eti ufuatilie vema na uje kumchana JF. Mbona mambo haya yanajulikana sana na kwa siku nyingi tu! Unafikiri hii ni mara ya ngapi Idara zilizopo Maliasili na Utalii chini ya Luhanjo zinafanya wizi wa namna hii?
Norway imekuwa ikidai irudishiwe fedha zake nyingi zilizo liwa na akina Luhanjo tangu akiwa Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili, Utalii na Mazingira kwa miaka nenda rudi. Na ukumbuke huyu jamaa ni TISS na bado ndio huyo anaongoza kwa UFISADI na hatimaye ufisadi una mpatia alama za juu kiasi kwamba anapewa ulaji usio na mipaka.
Hiyo ndio CCM bana. Ukisha kuwa FISADI mzoefu, unapewa ulaji kadiri unavyo taka. Bahati mbaya wenyewe wamesha shtuka wanadai chao.
Sasa ndio tumegundua kwamba FASTJET hakatizi anga za Scandinavia/NORDIC kwa sababu ya huu msala, eti?