Phantom 8 ni dhoruba kutoka tecno

Mkuu mbona me natumia hii j8 bt ipo poa tu, charge safi mnooo,internet ipo safi yaani sioni tatizo,labda camera Si gud sana kwa wapenda mapicha japo ni 13mp bt hovyo
Nimeweka default storage kuwa SD card, lakini kila ninacho download kinawekwa kwenye phone storage. Kwa hiyo baada ya muda mfupi phone storage inajaa, nashindwa ku download apps zaidi.
 
Tecno siyo ya mchina. Za mchina ni xiaomi na infinix, ambazo ni nzuri sana ingawa hazifikii samsung
 
Inauzwa bei gani?
 
Tecno siyo ya mchina. Za mchina ni xiaomi na infinix, ambazo ni nzuri sana ingawa hazifikii samsung
Wacha ushamba wewe TECNO ni mchina,tena ndio za kwanza kwanza kwa soko la Africa
 
Wabongo bhana kwa kuponda products za wenzao wako vizuri wako nchi yetu hata kiwanda cha toothpick hatuna
 
Watu mnaojua mambo ya teknolojia mnajaribu wafosi wengine waihame Tecno ilhali wengine shida yao ni ilimradi wawe wanaingia jamii forum kama nyinyi basi!





Hayo masuala ya ubora na ufanisi hayawasumbui kabisa
 
Hii nikweli hata mie sina kipingamizi juu ya hilo
 
Nasikia techno ni kampuni ya RAIA w a nigeria ila kiwsnda kiko China na ukienda China penyewe hawaziuzi hivyo ni kwa solo LA Africa specifically.
 
Hizooo n lavel yenuu hata wangewekaa nn hiloo jinaa tuu nkilickiaa ctak hata kuickiaaa
 
TECNO SIJAWAH KUTUMIA NA SJAWAH KUZIPENDA.

SAMSUNG/IPHONE/WINDOW PHONE, NDIYO SM ZA KUNUNUA
 
Tecno
Kampuni inayoongoza kwa Mauzo ya Simu janja Barani Afrika

Wewe zidi kuwakosoa wenzako wanapiga pesa ndefu Barani kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…