Phantom 8 ni dhoruba kutoka tecno

Phantom 8 ni dhoruba kutoka tecno

Mimi kinachonishangaza kwa android ni hizo ram uwa najiuliza zina kazi gani kwenye simu.
Hivi kuna game au app ya simu yenye kuihitaji hizo ram zote au ni mbwembwe za kuweka specifications nyingi hata zisizo na faida kwa mtumiaji.
Ni kweli mkuu!!! PC yenye RAM ya 4 GB unapigia kazi kubwa tu ikiwemo graphics!

Sijawahi kutumia tecno lkn huwa naona picha wanazopiga watumiaji wa tecno zinasikitisha!!! Too noisy, hapo anakuwambia ina sijui 13mp!!! Nawaza hata hizi sijui 20mp itakuwa takataka tu!!
 
Toka i phone 3g mpk sasa hv nina 8 sitaki android at all..
 
Kwani hawawezi kiweka Water proof kwenye simu yao.???
 
screen bado full HD na sio AMOLED wakati note 4 ilitoka mwaka 2014 na ina QHD na AMOLED. Halafu tecno ninavyowajua wataiuza laki 9.
RAM huwa wanafanya tafiti ya utumiaji wa simu. Watumiaji wengi wa android wanaweka apps nyingi kwenye simu na hivyo simu yenye RAM ndogo itajam mapema tu.
Mimi kinachonishangaza kwa android ni hizo ram uwa najiuliza zina kazi gani kwenye simu.
Hivi kuna game au app ya simu yenye kuihitaji hizo ram zote au ni mbwembwe za kuweka specifications nyingi hata zisizo na faida kwa mtumiaji.
 
Mwanzoni nilikua naichukia sama Tecno tena especially jina lake tu, Ila nlipoanza kuzitumia tu nikazikubali balaaa Ila ubaya wa hizi simu kadili unavyozidi kuitumia inakua ina stack stack saana....Ila kwa upande wa kutunza charge na kuperuzi internet ni kiboko
 
RAM huwa wanafanya tafiti ya utumiaji wa simu. Watumiaji wengi wa android wanaweka apps nyingi kwenye simu na hivyo simu yenye RAM ndogo itajam mapema tu.
Kwani si android ina mfumo wa kufunga app ambazo umefungua na huzitumii?
Mimi naona mbwembwe tu, simu ram 6gb inakuwa overpassed na sim ya ram 3gb katika performance
 
TECNO wameshaanza kuzingua, kuzingua kwao ni kwenye bei.
"Tecno Phantom 8 price in Tanzania will cost between 800, 000
Tanzanian Shilling-850, 000 Tanzanian Shilling"
Hiyo ni bei ya Phantom 8, je bei ya Phantom 8 Plus itakuwaje?
Kwa staili hii tutahamia team Samsung.
Wameona mkiwekewa bei rahisi mnadharau ngoja waipe hadhi kwa kuongeza bei
 
Tecno nawachukia,hiyo tabia ya kuleta simi mkukumkuku kumbe hazijajitosheleza,hapa natumia phantom 6+,kinachonikuta naogopa hata kuchekwa,its disgusting wajameni.
wanaleta *simi*?? mkukumkuku!!!
hatai kwei kwei mbwanga.
 
unavyorudia neno speculation badala ya specifications unaleta kichefuchefu!
 
Kwani si android ina mfumo wa kufunga app ambazo umefungua na huzitumii?
Mimi naona mbwembwe tu, simu ram 6gb inakuwa overpassed na sim ya ram 3gb katika performance
issue hapa wanaweka ram nyingi ili wakujazie bloatware nyingi, unanunua simu ina apps 50 tayari pre installed na huwezi zitoa,

pia siku hizi wana cache vitu kwenye ram, unakuta unapowasha simu kuna vitu automatic vinaenda kwenye ram kama vile launcher na built in apps za mara kwa mara kama app ya kupigia simu na sms.

bila kumsahau facebook, app zake mwenyewe zinaweza kula hadi 2GB ram.

hBscziG.jpg


hio note 8 imetoka juzi tu tayari free ram ipo hivyo ukiijaza zaidi inakuwa slow hapo.
 
issue hapa wanaweka ram nyingi ili wakujazie bloatware nyingi, unanunua simu ina apps 50 tayari pre installed na huwezi zitoa,

pia siku hizi wana cache vitu kwenye ram, unakuta unapowasha simu kuna vitu automatic vinaenda kwenye ram kama vile launcher na built in apps za mara kwa mara kama app ya kupigia simu na sms.

bila kumsahau facebook, app zake mwenyewe zinaweza kula hadi 2GB ram.

Screenshot_20171020-185946.jpg


hio note 8 imetoka juzi tu tayari free ram ipo hivyo ukiijaza zaidi inakuwa slow hapo.
Hapo nimekusoma chief, dah maana si kwa ram hizo aisee...
Simu yenye ram kubwa hivyo ukiipiga android pure kama ya htc nahisi itakuwa super fast..
Hiyo processor ya tekno bado ni mtk?
 
Back
Top Bottom