Phantom 8 ni dhoruba kutoka tecno

Phantom 8 ni dhoruba kutoka tecno

Tecno nawachukia,hiyo tabia ya kuleta simi mkukumkuku kumbe hazijajitosheleza,hapa natumia phantom 6+,kinachonikuta naogopa hata kuchekwa,its disgusting wajameni.
Hatukucheki mkuu
 
Tecno hata wawe na simu ina sehemu ya kutolea juice ya embe bado sitatamani kurudia kutumia tecno.

Hovyo sana. Ukinunua unakua safi utaipenda baada ya muda mfupi inakua ya hovyo sana
 
Tecno hata waweke makinikia kwa simu yao mi siwezi inunua wacha nife na ka samsung kangu
 
Mimi natumia boom J8. Inanizingua kinoma! Mapenzi yangu kwa tecno yamekoma
Mkuu mbona me natumia hii j8 bt ipo poa tu, charge safi mnooo,internet ipo safi yaani sioni tatizo,labda camera Si gud sana kwa wapenda mapicha japo ni 13mp bt hovyo
 
Hapo nimekusoma chief, dah maana si kwa ram hizo aisee...
Simu yenye ram kubwa hivyo ukiipiga android pure kama ya htc nahisi itakuwa super fast..
Hiyo processor ya tekno bado ni mtk?
yap bado mtk ila p25 imetumia manufacturing process ya 16nm hivyo kiasi fullani ni efficient tofauti na mtk nyengine.
 
yap bado mtk ila p25 imetumia manufacturing process ya 16nm hivyo kiasi fullani ni efficient tofauti na mtk nyengine.
Chief kuna jambo uwa unasema kuwa mtk haziko energy efficient kama processor zinazo designiwa na wale waingereza jina nimesahau bt wanazotumia samsung na sony n.k
But mbona hawa tecno simu zao zinakaa sana na chaji na hizo mtk zao.
Kuna siku nilimnunulia mtu tecno w5 kabla ya kumpatia nimekaa nayo siku mbili ikiwa full ntacheza internet zunguka kote but mpaka usiku bado ina charge.
 
Chief kuna jambo uwa unasema kuwa mtk haziko energy efficient kama processor zinazo designiwa na wale waingereza jina nimesahau bt wanazotumia samsung na sony n.k
But mbona hawa tecno simu zao zinakaa sana na chaji na hizo mtk zao.
Kuna siku nilimnunulia mtu tecno w5 kabla ya kumpatia nimekaa nayo siku mbili ikiwa full ntacheza internet zunguka kote but mpaka usiku bado ina charge.
simu yenye same specs ya Tecno na samsung ujue ya samsung itakaa sana na charge,

unakuta Tecno inakaa sana na charge sababu
-Kioo chake ni HD ya kawaida au SD na sio Full HD au Quad HD
-Battery lake lina MAH nyingi.
-processor ipo slow

hivyo unasacrifice kuona kitu kizuri (display) na simu yenye nguvu ili upate battery life nzuri.

ukitafuta simu ya samsung yenye same weakness kuwa na display yenye resolution ndogo, weak cpu na battery kubwa kubwa utapata simu inayokaa na chaji sana kuliko Tecno yoyote.

mfano hii ni galaxy j7 2016 kioo chake ni HD ya kawaida,

pQznIuZ.jpg


anaitumia mwanamke matumizi yake ni madogo sana, whatsapp, jf, insta basi.

hapo utaona ameshatumia siku 2 na masaa 8 bila kuichaji, na still kuna 34% remaining, ina maana kama pattern yake ya matumizi inaenda hivyo hivyo itachukua siku 3 na masaa 12 kuisha charge.

Hata hii phantom 8 itakaa sana na charge sababu ina same advantage kama samsung za 2017. utaona hapa miezi kadhaa baadae watakuja kujidai humu jukwaani.

nimecheki resolution ya w3 ni 800x480 tu, ni kioo kidogo sana,
 
simu yenye same specs ya Tecno na samsung ujue ya samsung itakaa sana na charge,

unakuta Tecno inakaa sana na charge sababu
-Kioo chake ni HD ya kawaida au SD na sio Full HD au Quad HD
-Battery lake lina MAH nyingi.
-processor ipo slow

hivyo unasacrifice kuona kitu kizuri (display) na simu yenye nguvu ili upate battery life nzuri.

ukitafuta simu ya samsung yenye same weakness kuwa na display yenye resolution ndogo, weak cpu na battery kubwa kubwa utapata simu inayokaa na chaji sana kuliko Tecno yoyote.

mfano hii ni galaxy j7 2016 kioo chake ni HD ya kawaida,

pQznIuZ.jpg


anaitumia mwanamke matumizi yake ni madogo sana, whatsapp, jf, insta basi.

hapo utaona ameshatumia siku 2 na masaa 8 bila kuichaji, na still kuna 34% remaining, ina maana kama pattern yake ya matumizi inaenda hivyo hivyo itachukua siku 3 na masaa 12 kuisha charge.

Hata hii phantom 8 itakaa sana na charge sababu ina same advantage kama samsung za 2017. utaona hapa miezi kadhaa baadae watakuja kujidai humu jukwaani.

nimecheki resolution ya w3 ni 800x480 tu, ni kioo kidogo sana,
Got you chief
 
Naumia J8 ila nataka kuiuza..ninunue simu nyingine nipo Songea 0755324296
 
p25 sio soc mbaya ila ninavyowajua Tecno wataiuza ghali kuliko maelezo, hii ni equivalent na samsung j7 2017, xiaomi redmi note 4, motorola moto g5 plus etc hizo zote ni simu za chini ya laki 5.
helio p25 inanguvu sana na inakubali update directly
 
helio p25 inanguvu sana na inakubali update directly
haina nguvu mkuu, yenye nguvu kwenye mediatek ni X series kama hio x30 inayopatikana kwenye phantom 8 plus,

helio p25 inatumia cortex A53 ambazo zipo clocked 2.5Ghz, ni midrange soc ambayo hutumika kwenye simu za kati, hivyo unaweza kusema uwezo wake ni wa wastani.

umeona wapi inapata updates directly?
 
TECNO wameshaanza kuzingua, kuzingua kwao ni kwenye bei.
"Tecno Phantom 8 price in Tanzania will cost between 800, 000
Tanzanian Shilling-850, 000 Tanzanian Shilling"
Hiyo ni bei ya Phantom 8, je bei ya Phantom 8 Plus itakuwaje?
Kwa staili hii tutahamia team Samsung.
Kuna mtu ataspend 800k kununua techo?
Si bora ucheze biko?
 
Back
Top Bottom