Ndiyo jibu.Kusomea Urubani ni pesa yako tu na wanaanza fundisha kuanzia miaka 17 imradi tu uwe umemaliza Form Four na uwe na Dollar 17000.
Pale Moswood Terminal 1 watakufundisha na utakuwa na uwezo wa kupata PPL (Leseni Binafsi ya Kurusha Ndege), ukitoka hapo ndio waenda kwenye CPL, ATPL ambapo huko pote utakuwa wafanya Rating kutokana na ndege unayotaka au zilizopo kwenye shirika unalofanyia kazi.
NB: Marubani wengi ila ndege chache hivyo unaweza soma ila ukawa day worker kupeleka Watalii Mbugani
Urubani hata ukisoma HKL unaweza somea ni ela yako tu!!Kusomea Urubani ni pesa yako tu na wanaanza fundisha kuanzia miaka 17 imradi tu uwe umemaliza Form Four na uwe na Dollar 17000.
Pale Moswood Terminal 1 watakufundisha na utakuwa na uwezo wa kupata PPL (Leseni Binafsi ya Kurusha Ndege), ukitoka hapo ndio waenda kwenye CPL, ATPL ambapo huko pote utakuwa wafanya Rating kutokana na ndege unayotaka au zilizopo kwenye shirika unalofanyia kazi.
NB: Marubani wengi ila ndege chache hivyo unaweza soma ila ukawa day worker kupeleka Watalii Mbugani
Sikio lakufa halisikii dawa, Kaisome Ukimaliza chuo ukipata kazi unitagNimesoma hiyo PGM licha ya watu kutuponda na kutusema nilikuwa naipenda toka moyoni.
Hata nkirudi shule ntachagua hiyohiyo.
PGM OYEEEE
Sikio lakufa halisikii dawa, Kaisome Ukimaliza chuo ukipata kazi unitag
Tulia hapo ulipo sasaniko kazini sasa hv
na pgm ilinipeleka chuo.
Pole
Marubani ni wachache na ndege ni nyingiKusomea Urubani ni pesa yako tu na wanaanza fundisha kuanzia miaka 17 imradi tu uwe umemaliza Form Four na uwe na Dollar 17000.
Pale Moswood Terminal 1 watakufundisha na utakuwa na uwezo wa kupata PPL (Leseni Binafsi ya Kurusha Ndege), ukitoka hapo ndio waenda kwenye CPL, ATPL ambapo huko pote utakuwa wafanya Rating kutokana na ndege unayotaka au zilizopo kwenye shirika unalofanyia kazi.
NB: Marubani wengi ila ndege chache hivyo unaweza soma ila ukawa day worker kupeleka Watalii Mbugani