Mchungaji Peter Msigwa: Watu wanakuhitaji pale tu wanafaidika na wewe

Mchungaji Peter Msigwa: Watu wanakuhitaji pale tu wanafaidika na wewe

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
14,557
Reaction score
31,968
Amekuja gundua kwa kuchelewa sana. Huyu Msigwa alitembezwa sehemu nyingi za nchi kabebeshwa picha. Kama falah, taahira na msukule. Sasa anashtuka.

Too late. Na simu zake hawapokei. Hana issue tena kwa sasa. Siyo deal. Ameshadharaulika hana mbele wala nyuma.

Screenshot_2026-04-21-19-51-23-840_com.whatsapp~2.jpg
 
Msigwa ana Kila kitu ambacho watu wengi ndo ndoto zao .

Sifikirii kama bado anaweza akawa MTU wa kutojua nini asimamie kwenye maisha yake .
Ana kila kitu!? Unahisi hahitaji chochote.. nae anatamani madaraka, anatamqni uwaziri, anatamani vingi tu hapo alipo.

Unadhani kule aliondoka ili huku aje kuwa ball boy wa bure, alitegemea kuja kupata usajili nae acheze, sasa kaokoteshwa mipira kafua jezi, list inatoka hata kwenye tiketi ya waingia bure hayumo
 
Ana kila kitu!? Unahisi hahitaji chochote.. nae anatamani madaraka, anatamqni uwaziri, anatamani vingi tu hapo ulipo.

Unadhani kule aliondoka huku aje kuwa ball boy wa bure, alitegemea kuja kupata usajili nqe acheze, sasa kaokoteshwa mipira kafua jezi, list inatoka hata kwenye tiketi ya waingia bure hayumo
Sijui kwa nini mwamba wanamfanyia hivyo,ama hawana imani naye?
 
Ana kila kitu!? Unahisi hahitaji chochote.. nae anatamani madaraka, anatamqni uwaziri, anatamani vingi tu hapo ulipo.

Unadhani kule aliondoka huku aje kuwa ball boy wa bure, alitegemea kuja kupata usajili nqe acheze, sasa kaokoteshwa mipira kafua jezi, list inatoka hata kwenye tiketi ya waingia bure hayumo
Ana best accomplishment kukaa kumjadili MTU kama huyo is waste of time .
 
Amekuja gundua kwa kuchelewa sana. Huyu Msigwa alitembezwa sehemu nyingi za nchi kabebeshwa picha. Kama falah, taahira na msukule. Sasa anashtuka.

Too late. Na simu zake hawapokei. Hana issue tena kwa sasa. Siyo deal. Ameshadharaulika hana mbele wala nyuma.

View attachment 3577033
Labda kama wewe ni Mgeni wa siasa hizi, alichofanya Msigwa nilimsapoti, that was the only survival mechanism.

Nadhani naeleweka
 
Ana kila kitu!? Unahisi hahitaji chochote.. nae anatamani madaraka, anatamqni uwaziri, anatamani vingi tu hapo ulipo.

Unadhani kule aliondoka huku aje kuwa ball boy wa bure, alitegemea kuja kupata usajili nqe acheze, sasa kaokoteshwa mipira kafua jezi, list inatoka hata kwenye tiketi ya waingia bure hayumo
Dah 😆
 
Msigwa alikuwa shemeji wa Magufuli, yaani dada yake alikuwa mke wa Rais hivyo alistahili naye ale vya Ikulu kama sisi.
 
Amekuja gundua kwa kuchelewa sana. Huyu Msigwa alitembezwa sehemu nyingi za nchi kabebeshwa picha. Kama falah, taahira na msukule. Sasa anashtuka.

Too late. Na simu zake hawapokei. Hana issue tena kwa sasa. Siyo deal. Ameshadharaulika hana mbele wala nyuma.

View attachment 3577033
Malipo ni hapa hapa duniani. Kuna mengi ya kujifunza.
 
Back
Top Bottom