Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,551
Wakuu anayefahamu huyu mzee ni mchungaji wa kanisa gani anijuze, sijawahi kuona akihubiri popote wala kuongea chochote kuhusiana na uchungaji wake.
Kipindi cha nyuma(2013) Kuna mbunge alimpiga kijembe kwa kumwita mchungaji wa nguruwe😂 siku hiyo Speaker Makinda na naibu wake Ndugai walikuwepo na hawakumchukulia hatua yoyote aliyesema hayo maneno.
Tangu kipindi hicho mpaka leo sijui huyu bwana ni mchungaji wa akina nani au alisomea tu uchungaji?
Kipindi cha nyuma(2013) Kuna mbunge alimpiga kijembe kwa kumwita mchungaji wa nguruwe😂 siku hiyo Speaker Makinda na naibu wake Ndugai walikuwepo na hawakumchukulia hatua yoyote aliyesema hayo maneno.
Tangu kipindi hicho mpaka leo sijui huyu bwana ni mchungaji wa akina nani au alisomea tu uchungaji?