Msambwatawangu kampiga Msigwa peupe.Msigwa atulie kama ananyolewa coz hamna namna.
Kukosa kwake ubunge tena kapgwa na mwanamke mh msambatavangu isiwe sababu ya kuzuia wenzake kishamba ivo
Yeye aendelee tu na kazi yake ya uchungaji ova
Watu wanaokimbilia kukoment bila kuangalia video utawajua tu!!Pole Peter, kanywe ulanzi usubiri 2025. Mwache Bi Halima apambane kivyake
Hahaha jamaa sura mbaya hahahaha, domo hilo hahahaha, si tuliwaambia msimtukane Dkt Magufuli mkadhani mnamtukana yeye bali mnadhalilisha taasisi ya urais (umma wa watanzania).Another golden response from Msigwa! Wonderful!
Mudawote🤣Hahaha jamaa sura mbaya hahahaha, domo hilo hahahaha, si tuliwaambia msimtukane Dkt Magufuli mkadhani mnamtukana yeye bali mnadhalilisha taasisi ya urais (umma wa watanzania).
Hakuna jipya!!Watu wanaokimbilia kukoment bila kuangalia video utawajua tu!!
Deep cover huwa wapo Dark, huwa wana operate on their ways...hawana timelines wao kazi yao ni kuhakikisha kila kitu kinakwenda kwa maslahi ya taifa.Msigwa ni deepcover