huyu hapa anafunguka facebook
""Niliharibikiwa na gari maeneo ya kutokea ikulu mda
sio mrefu,nikavamiwa na vibaka Saba Mimi pamoja
na Dereva wangu ambaye alikuwa anafungua tairi
nimepigwa vizuri ,na nimenyang'wa simu zote na
pesa pamoja na waleti ,hii Ndio bongo , ....watu
wengi nitakuwa nimepoteza namba zenu""
My take.: askari wapo bussy na Sheikh ponda na Faridi?? Its a big joke
Hivi wabunge si wanakuwaga na bastola? au airuhusiwa kupiga hewani maeneo ya ikulu? Je kama hairuhusiwi sasa inakuwaje vibaka wapo maeneo ya ikulu? Hapo inaashiria nini vibaka kuwa karibu na ikulu?
uko sahihi mkuu.......labda tungejikumbusha kidogo ni wapi tulikopi na ku-pesti ile sheria isiyo na ushahidi "sheria ya kukonyeza" hapa ndio tungejua kuwa wenzetu wana sheria kali sana.mkuu mimi nafikiri alikua anatoa taarifa tu, hata nchi zilozoendelea pamoja na sheria kali bado uhalifu upo.!
hivi kumbe ndivyo Dar ilivyo!!Dar sio salama hili nimeshalisema mara nyingi sana..tatizo lingne ni watu wa huu mji kuwa na tabia mbaya za kiswahili ukivamiwa utapambana mwenyewe hata kama wapo wanakuangalia tu...watu wabaya sana kabisa
hivi kumbe ndivyo Dar ilivyo!!
uko sahihi mkuu.......labda tungejikumbusha kidogo ni wapi tulikopi na ku-pesti ile sheria isiyo na ushahidi "sheria ya kukonyeza" hapa ndio tungejua kuwa wenzetu wana sheria kali sana.
Hii sheria ya kukonyeza bana, hivi ilishawahi kutumika??
Mimi huwa mara chache sana nafika Dar.. Novemba nitakuwa Dar naamini shemeji Mwita Maranya atanisaidia.Kama hujui jaribu uone moto wake...
...TIQO You really made my day nimecheka sana.Hivi unadhani huyo rais hata akisikia yowe atatoka mle ndani kuja kusaidia? Ye mwenyewe akiona bongo panaripuka anachukua pipa huyooooo!!!:laser:Kwa nn hakupiga yowe rais atoke kumpa msaada?
inamana polisi wanatakiwa wawepo kila kona ya mtaa,kijiji hadi kitongoji,
sio kweli,pole mhe.
Sjakuelewa Ikulu kule kivukoni Dar es salaam au?