gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
tandale kwa tumbwa au tandale wapi huko?
halafu sorry nilimaanisha tandika double cabin hii iko (w) ya tmk. tandale sijaish bana lol!
tandale kwa tumbwa au tandale wapi huko?
kwa pm hata usitumie tafsida
khaa! hivi wajua haliwi? lol! aisee njoo kwangu nikupikie siriaz na utampenda sana. yaani sikuelewi kabisa aisee!
halafu sorry nilimaanisha tandika double cabin hii iko (w) ya tmk. tandale sijaish bana lol!
Ngoja nikalale nisije kuota bureeeeee....bata bukini??? khaa..........kumbikumbi ningeelewa
dah!!! haya bwana...Acha sie wa A town tubakie huku A town.
basi nimewaambia kwa mfano wasopoelewa basi tena wanichek kwa pm
Nina wasiwasi na uelewa wangu katika hilo, nasubiria PM! Lol
ukiona vyaelea..... Kipipi heb jibu :sleepy:
hawa watoto wa majuzi sijui hata kama wanaelewa mamito gfsonwin.....eti kijana umeelewa?
nitakuwa cc'd ujue.....lol
Kabla hujasinzia kwanza nijibu una wake wangapi?
kumbe wewe mtoto wa a town chalii yangu. miye miaka hiyo niishi sanawari nikiwa mwwl hapo enaboishu sec. those days back. hivi lkn kijiwe cha kwa keni bado kipo? walikuwaga wanauza mchemsho kweli kweli hapo.
teh teh teh teh!!! Kipipi my dear...come this way...I wanna tell you something.
Judgement umeshapata moja moto moja baridi nini?YM !
Hebu ongeza speed , na ongeza kukazia hukumu kwenye hilo jimbo (Kipipi)
manaake yuaonekana msamiati wa neno "usajili " haujui ! Unanielewa? Hilo neno "unanielewa" lipronnounce kama yule mangi wa ze comedy ya chanel 10!
zawadi kubwa,nzuri na yenye ubora na haina expiry date ni ile kitu pekeeee..........inawatesa watu isee jamaa yng yaaaan hadi maneno yamekata.
hahahha hata mi tafsida yake siifaham
nimekuja kuifaham but ni ngumu sana mtu kuelewaKhaa!
Hebu acha unafik ! Kujibaraguza at work !
Ukisikia kujitoa fahamu ndiyo huko!
Eti hujui tafsida! Tafsiiiidaah !
Ndiyo kusema utaijua lini ?