Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Duh!Atakua monica
Duh!Atakua monica
Jamaa kauwa bendi.Ngoja aamke
Thanks MIGUGO for the insights lakini nadhani pia kuna tofauti ndogo kati ya spirit na energy kwamba spirit ni energy the only difference ni kwamba energy haiweZi kuwa spiritNadhan unaweza kusema pia ni "Transfer of person's energy to another person ila inategemea strength za wewe recipient.Unakuta mwingine hiyo energy(pete/zawadi au penzi) anamiliki muda gani na pale inapokutoka upo strong kiasi gani.Ndio maana unakuta jamaa aliamua kupiga.That's reaction you get heat/hit as an aftermath.
Sio roho hiyo ni energy.Naeza kuita possessive energy.Unless your inner body is strong enough you will contain it otherwise it will shift to another person.
monicca njoo hukuAtakua monica
Duh kaka mbona inatisha
Mbali na urembo pia kuna Pete au cheni kwa ajili ya maagano.. Ama majini au mizimu wanapenda saana kuzitumia. Pia ni mapokeo tu.Sijuagi kabisa maana/faida ya pete na cheni ktk uvaaji wake tofauti na kukaririshwa kuwa ni urembo. Anaeweza kunisaidia naomba.
Kiruuuuuuuuu yaani mpaka mwili umesisimka maana WACONGO NI MAJUJU MAN,TUMUOMBE BWANA ATUEPUSHE NA VITU VYA NAMNA HII JAMANI,.,.,,AMEEEEN.Khee