DuuuKuna dada yeye aliokota hereni ya dhahabu ilikuwa moja pembezoni mwa njia, akaichukua akarudi nayo nyumbani ili aipeleke kwa sonara, alijuta sio kwa vitisho alivyokuwa Napata usiku kuna watu walikuwa wanamfuata (hii ni kulingana na maelezo yake)wanataka hereni yao na irudishe palepale alipoiokota, ilikuwa balaa
Kuna wakati forum hupinduka na kucheua - JamiiForumsDuh! Tangu 2016 eti leo ndio naiona hii stori
"ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ ᵗᵒ ᵏⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ"

Mshana! Ngoja kwanza....
Hebu ongea na huyo jamaa afunguke hiyo Pete ikoje
kama hana picha basi chukua maelezo alafu yaweke ktk picha hata kwa kuchora kisha itupie hapa
kuna Pete moja hapa home hata sielewi elewi jinsi nilivyoipata


unalo hiloHahaha....niliisha itupa kitambo 🤣🤣
