miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
AmeenKiruuuuuuuuu yaani mpaka mwili umesisimka maana WACONGO NI MAJUJU MAN,TUMUOMBE BWANA ATUEPUSHE NA VITU VYA NAMNA HII JAMANI,.,.,,AMEEEEN.
AmeenKiruuuuuuuuu yaani mpaka mwili umesisimka maana WACONGO NI MAJUJU MAN,TUMUOMBE BWANA ATUEPUSHE NA VITU VYA NAMNA HII JAMANI,.,.,,AMEEEEN.
Ubarikiwe,vipi mtoto hajambo?,na pia vipi ile bank account ya ISA umeisha mfungulia?Ameen
Mtoto hajambo ile account nipo kwenye mchakatoUbarikiwe,vipi mtoto hajambo?,na pia vipi ile bank account ya ISA umeisha mfungulia?
Doooh mbona siku nyingi hivo?,basi hizo pesa si utazinywea DOMPO au MBEGE na KITOCHI?.,mbona account sasa hivi ni simple,yaani mambo yoote ni Online au?,..YESU NA MARIA KIRUUUUUUUUUUUU,tumemalisa na tumekwisa mamii.Mtoto hajambo ile account nipo kwenye mchakato
Alikuwa tumboni ndiyo katoka juzi juzi hapa kwa hiyo ndiyo mchakato rasmi waaanzaDoooh mbona siku nyingi hivo?,basi hizo pesa si utazinywea DOMPO au MBEGE na KITOCHI?.,mbona account sasa hivi ni simple,yaani mambo yoote ni Online au?,..YESU NA MARIA KIRUUUUUUUUUUUU,tumemalisa na tumekwisa mamii.
AISEE HONGERA MAMANGU HABARI NI TAMU KAMA MBEGE NASHINDWA KUMESA NAOGOPA NITAIMALISA MAMANGU.USISAHAU KUMPA MBEGE KIJIKO KIMOJA CHA CHAI KILA SIKU MAMA KIMARO.Alikuwa tumboni ndiyo katoka juzi juzi hapa kwa hiyo ndiyo mchakato rasmi waaanza
Sawa baba TembaAISEE HONGERA MAMANGU HABARI NI TAMU KAMA MBEGE NASHINDWA KUMESA NAOGOPA NITAIMALISA MAMANGU.USISAHAU KUMPA MBEGE KIJIKO KIMOJA CHA CHAI KILA SIKU MAMA KIMARO.
Asee mama Kimaro unataka kunilisa machosi ,kwa nini umbadilise jina Kimaro na kumbatisa jina Temba.Sawa baba Temba
Mmmh wanaanza kujulikanaMmh Mungu wangu![]()
![]()
![]()
Ishachakaa adi imepoteza ladha ya petePengine bado inaendelea kutangatanga
Mimi nimekuelewa vizuri sana..hiyo imeshakuwa roho yako ya pili na siku likitokea la kutokea (sikuombei mabaya )nayo itapotea mazima na isipopotea italeta shida sana kwa watakao kuwa nayoAisee Ina story ndefu sana na mm ni mvivu wa kuandika kwa ufupi imetengenezwa na dhahabu chafu na nyoka King cobra ilishapotea zaidi ya Mara 7 wanairudisha na malalamiko makubwa kwa awo wanayoimiliki kwa mudi ni kua uyo nyoka kuna Sasa anageiza kichwa na la zaidi woote awo wilivyonirudishia nikiwauliza walijuaje anwani yangu jibu linafanana waliipata ndotoni.
Mimi sasa nisipo ivaa nakwambia dili zinafeli mbayaa japo sio kiivyo sio sawa kama nikivaa ila naipenda maana nikivaa nakua wawili sijui nielezeje ila kuna watakao nielewa
Angalizo ii Pete sio ya majini wala ya kichawa niliinunua kwenye mizunguko yangu ya holly day kwenye nchi za watu