Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,891
- 31,676
Umetisha sana kijana.Enzi zangu hela ya Boom ilikuwa ni ya Bia tu nothing else
Umetisha sana kijana.Enzi zangu hela ya Boom ilikuwa ni ya Bia tu nothing else
mchana Ugali usiku RB maji ya tank(bima ipo)buku 2 unaishi nayo vipi? nipe mchanganuo
Sio kweli, boom ni 524,000/= kwa miezi miwiliKuna vyuo, wanapiga laki 6+.
Yaani mkuu nimecheka balaaa hapa.Hakuna uchawi wowote. Zimekokotolewa na wachumi nguli wa bodi ya mikopo kiasi kwamba ukimaliza chuo huondoki na senti moja!
Kujengea pesa ya boom huo ni uzembe na kiherehere.Punguzeni starehe, kuna wenzenu wanajenga kwa pesa hizo-hizo. Wewe endelea kupendezesha ghetto la kupanga kwa ajili ya asha boko.
Nikwaajili ya apo chuo sio kitaaSijui huwaga zina nini. Kipindi nasoma nilijitahidi kubana angalau hata nikimaliza nibaki na kabalance kadogo lakini wapi. Nilipomaliza chuo na zenyewe zikapita hivi duu ni balaa.

Hyo Ni hella ya kujikimu kwa wanafunzi wa chuo kikuu chochote tz..Hivi boom ndio nn...???
Maana naona hapa natengwa kabisa yani![]()
Gomeni na kuandamana ili mwoongezewe.Laki tano ya chuo hasa ya boom sio pesa kabisa ndani ya week 1 au 2 unakuwa mweupee peee, sijui zina nini zile pesa aisee.
524000 kwa first yearKumbe siku hivi mnapewa laki tano.!?
Safi br..ila mwaka wa pili utapunguza kidogomwaka mmoja nimewez kuweka 1M ya boom na kuspend 1M hapo nimenunua nguo za kutosha sim ya maan kula nk
ukiwa moro lkn cz maish ya moro simpo sana
Hauna hyo! Hyo laki 6 + inapatkana Mara moja tu kwaajili ya books and stationaryKuna vyuo, wanapiga laki 6+.





Yani nkaona nkikaidi hapa mambo yanaweza niendea komboo nkaamua kuzila na Kununua vitu vya geto tu... Tv...sofa..kitanda...kabati..friji na mengine Mengii...!! So ishu ni kujipanga tu ukiwa unaishi hostel na unapenda mademu kila ukipata hela Uelekeo Lodge walahi hela ya bumu utaona kama ni uchawii.. Kama unapenda sana Chini panga tu geto...Ha ha ha wajomba bwanaa! Kuna cku mjomba kanpigia eti nmsaidie laki tano atarudisha baada ya wiki..nikamwambia mjomba hapa nmekauka sema TU umewahi kunipigia nilikwa na shida Kama yako..Imekuwa aje mjomba kala pesa zako. Kuwa mwangalifu!
Safi br..ila mwaka wa pili utapunguza kidogo
Ama vp
Hauna hyo! Hyo laki 6 + inapatkana Mara moja tu kwaajili ya books and stationary
Asubuhi unapiga flat screen! Mchana wali kifusi dampo au kwa mchina!mimi natumia elfu3 juma tatu mpaka alhamisi baada ya hapo ni elfu mbili tu kwa siku
Sawa.. inapendeza brni mwanzo wa mwaka unapokea kilo 7 ile miez miwil ya mwanz
8500/= per dayKumbe siku hivi mnapewa laki tano.!?