Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,776
Hivi boom ndio nn...???
Maana naona hapa natengwa kabisa yani
Maana naona hapa natengwa kabisa yani
Duuuh kumbeee. Yanii nimeambuliaa smartphone tuHakuna uchawi wowote. Zimekokotolewa na wachumi nguli wa bodi ya mikopo kiasi kwamba ukimaliza chuo huondoki na senti moja!
Tumieni kodi zetu vizuriLaki tano ya chuo hasa ya boom sio pesa kabisa ndani ya week 1 au 2 unakuwa mweupee peee, sijui zina nini zile pesa aisee.
Hill park noma sanawanachuo mnakula msosi hill park .. halafu hela za bumu zitoshe.. cafeteria zenu wanauza cheap mnaona hapafai
Mm nimekaa nje kuna baadhi ya gharama nimeziespace mfano:Day 1
Kubeti- 1000
Chai- 1500
launch - 2000
Maji- 1000
Dinar- 2500
Maji- 1000
Total 10000Tzs
10000*30 =300000TZS , Only Per month
Other expenses
- Copy
- kuhonga
- Nauli
- Michango
Kuwa na subra kijana ni kawaida sana
Nilikutana na watu wakizitumbua bhana, mm nimejitutumua na hela yangu ya Pilipili nakuta jamaa wanatumia boom dah balaaLaki tano ya chuo hasa ya boom sio pesa kabisa ndani ya week 1 au 2 unakuwa mweupee peee, sijui zina nini zile pesa aisee.
Hahaa ...kila week century cinema..daily samaki samaki ... halafu wana shangaa pesa kuwa na majini !!!!Boom in mipango tu!! Mfano mimi nipo mwaia Wa 2 ila kwenye akaunti yangu bado inasoma 460k. Na nimepanga nje sio kukaa hostel. Ukielewa maisha unayotaka kuishi mbona boom linabakiza chenji kabsa....
Kila siku movie mlimani city, shopping aura mall then lunch marry brown halafu unataka pesa za boom zisiwe na majini????
HahaaZikiwa 5 huwa mnaziona nyingi ikibakia laki ndio mnastuka na kuanza kupiga pasi ndefu
SureNYIE NDO WALE OOOH HELA YA MHINDI INA MADAWA HUWEZI FANIKIWA.
Ni kauli za kishujaa ili kutimiza matakwa yenu ya kutokuweka akiba
HahaaRaha ya boom uhonge
Hahaa my ribsTumieni kodi zetu vizuri
Very soon itakua zamu yenu kuja kuteseka mpaka mkae kwenye ramani sio leo wala kesho.
Anza kuandaa talaka ya demu wako maana kilichoko mbele ni kigumu kuliko ulivyowahi kuvishuhudia maishani kwako.
Eti unakutana na Jamaa anamtoa demu wake shopping anasema waende Mr. Price!!! Humo ndani pensi tu unaikuta inauzwa 30k bado hujanunua T-shirt nayo unaambiwa 55k. Hujauliza viatu hapo!!!!!Hahaa ...kila week century cinema..daily samaki samaki ... halafu wana shangaa pesa kuwa na majini !!!!