hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Jini mkubwa ni ukosefu wa nidhamu ya matumizi .... hili tatizo ni cancer inayo tutafuna vijana wengi wa taifa hiliEti unakutana na Jamaa anamtoa demu wake shopping anasema waende Mr. Price!!! Humo ndani pensi tu unaikuta inauzwa 30k bado hujanunua T-shirt nayo unaambiwa 55k. Hujauliza viatu hapo!!!!!
Lazma pesa ziwe na majini kwa maana jini Wa kwanza ni matumizi ya ovyo ovyo.