Pesa za boom zina nini jamani?

Pesa za boom zina nini jamani?

Aisee mimi boom ndo sijalifaidi kabisa mpaka namaliza chuo mwaka jana,nikipokea laki tano ile,maza namtumia laki 2 unusu alipe vikoba na ampeleke dogo shule,uzuri nilikua nakaa geto maza ananiagizia kipeto cha dona me zangu ugali tu,ilinipa uchungu sana wa kutafuta mishe,thank God sahv nimesimama vema,nikitaka kapiza nakula nikitaka ka nyama choma nakula.Malengo muhimu tambua wewe ni nani na unatakiwa ufanye nini acha kufata watu uliowakuta chuo,wengine kwao wako vizuri na hawajui kama kijana anapewa boom.
 
Boom langu chuo hata cku li enjoy nilipataga limwanamke nilikuwa nalipenda lilikuwa linanitesa ilo bac nikawanaliongaga mpaka bac yani boom cku enjoy ila mshahara tuu na na uenjoy saiz yani ninekuwa mbahiri balaa nautumia vzr mshahara hatari.
Hahahahh nmumenichekesha mkuu
 
Asubuhi unapiga flat screen! Mchana wali kifusi dampo au kwa mchina!
Jioni unapata chapat 3 maharage Happo bibo hosteli..
Happ vp
Yah man chapat 3 harage kwa mpemba hapa nje kwa mpemba nkizama nadownload maji kwa tank napanda block c huku nikitizama warembo na kujisemea moyoni (ngono ni ujinga )kisha natoa tusi kidogo kujipa ujasiri kisha na lala geto siku imekata
 
Kweli yan mm mwenyewe nmepanga mwaka jana nilisevu laki saba,, japo zkaliwa na uncle na mwaka huu nmesavu laki tano mpaka sasa na kunajamaaa angu yeye yupo udsm mpaka sasa kanunua ng'ombe wanne wapo home.
Kwaiyo me naona huwa ni mipango na matumiz ya mtu huska tu,,,, lakn mpaka apo sjawah enda club, wala kuwa na demu apa chuon,,, make ndio vitu hukamua sana hela kwa wajuvi wanadai ivyo
Very good lazima mtu ustick na mipango yako
 
Yah man chapat 3 harage kwa mpemba hapa nje kwa mpemba nkizama nadownload maji kwa tank napanda block c huku nikitizama warembo na kujisemea moyoni (ngono ni ujinga )kisha natoa tusi kidogo kujipa ujasiri kisha na lala geto siku imekata
Ha ha ha ....nakuona man ukifanya hizo action..
Lengo Ni moja huko mitaani tukirudi ..na haya ma unemployment Basi tusiende kudhalililka.
Angalau umerudi uanzishe bc hata kabizness..
Lakn boom ulkula na Amina wa mabibo..
Duh na home hali mbaya..
(ANGALIZO HIYO C KWAAJILI YA watoto wa mama)
 
Jinyime tu mdogo wangu laki 5 ni nyingi sana. Huku duniani kuna watu mshahara wao ni chini ya lakini 5 lakini wanaishi, wanasomesha, wanasaidia watu kama nyinyi nk
 
Matumizi ya pesa yanahitaji nidhamu ya matumizi.

Boom langu nilimsomesha dogo Advance japo nilishirikiana ndugu yangu, niligawia watu home pindi wakiwa na uhitaji.

Nilibaki na salio la karibia Milioni wakati namaliza Chuo.

Ila zilivepa zote ndani ya miezi 3 nikiwa nishamaliza chuo
 
Ha ha ha ....nakuona man ukifanya hizo action..
Lengo Ni moja huko mitaani tukirudi ..na haya ma unemployment Basi tusiende kudhalililka.
Angalau umerudi uanzishe bc hata kabizness..
Lakn boom ulkula na Amina wa mabibo..
Duh na home hali mbaya..
(ANGALIZO HIYO C KWAAJILI YA watoto wa mama)
Ila mawaki huku room hawatuelewi wanadhani ujanja ni kuspend ela kwenye anasa nguo mpya kariakoo kutoka kila weekend nk.....
Mwisho wa siku wanakuja lalamikia serikali kijinga wakati ukweli tunaujua tu hakuna wakukuajiri
 
Ila mawaki huku room hawatuelewi wanadhani ujanja ni kuspend ela kwenye anasa nguo mpya kariakoo kutoka kila weekend nk.....
Mwisho wa siku wanakuja lalamikia serikali kijinga wakati ukweli tunaujua tu hakuna wakukuajiri
Wamezuzuliwa vya kisoro na boom br..
Asee hayo maajira yakijitokeza br.. mungu akisaidia haya mazaga tutafanya mengine kwa amani.
 
Buguruni huwa ni weekend pamoja na sehemu Fulani hivi tabata segerea kuna wazenji wanachoma nyama na chips.
Nikitumia buku 10 sio mbaya ila am sticking on my budget mkuu. Sinunui kitu outside the plan.
Sizungumzii chipsi nazungumzia wale wanaofanya biashara kongwe duniani.
 
Matumizi ya pesa yanahitaji nidhamu ya matumizi.

Boom langu nilimsomesha dogo Advance japo nilishirikiana ndugu yangu, niligawia watu home pindi wakiwa na uhitaji.

Nilibaki na salio la karibia Milioni wakati namaliza Chuo.

Ila zilivepa zote ndani ya miezi 3 nikiwa nishamaliza chuo
Afadhali ulizitunza hadi ukamaliza na salio mkononi kulikoni kuwa na madeni mtaani
 
Back
Top Bottom