pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 11,561
- 14,627
Germany all the wayGermany njooni hapa
Germany all the wayGermany njooni hapa
🤣🤣🤣🤣🤣 Pamoja na waganga wao wote waliojaa barani africa nusu final tuu hamna kitu.Hivi kuna Nchi ya kiafrika ilishawahi kuchukua hili kombe??
Hapo kwa Argentina tupo pamojaArgentina bingwa, Senegal atafika nusu fainali.
Hapo kwa Argentina tupo pamoja
France na BrazilHivi kuna Nchi ya kiafrika ilishawahi kuchukua hili kombe??
Hivi Kuna Nchi ya Assia ilishawahi kuchukua hili Kombe?Hivi kuna Nchi ya kiafrika ilishawahi kuchukua hili kombe??