Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Heri ya Krismas wakuu.
Naomba kufahamishwa. Pesa taslimu za kununua haya madege anazipata wapi? kuna mtu alinitonya kuwa mzeebaba amesanya pesa zote kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii hadi kuifilisi na alipoona hivyo akaja na spin za kuiunganisha kubaki na mfuko mmoja na baada ya hiyo spin akaja na twisti nyingine ya wenye pesa zao kupewa 25%. je haya ni ya kweli?
kama siyo ya kweli pesa taslimu kununua madege mapya anazipata wapi?
Naomba kufahamishwa. Pesa taslimu za kununua haya madege anazipata wapi? kuna mtu alinitonya kuwa mzeebaba amesanya pesa zote kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii hadi kuifilisi na alipoona hivyo akaja na spin za kuiunganisha kubaki na mfuko mmoja na baada ya hiyo spin akaja na twisti nyingine ya wenye pesa zao kupewa 25%. je haya ni ya kweli?
kama siyo ya kweli pesa taslimu kununua madege mapya anazipata wapi?