C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Katu usimuoe mwanamke mzuri kama hauna pesa
Kwanini nawaambia mwanamke mzuri ukimuoa halafu ukawa hauna pesa lazima utasaidiwa na wanaume wenzako yaani watakuwa wanambinua kila siku mfano nyie mkiwa ni kipato cha kati
Mmetoka nae sehemu kama vile pub or somewhere.. midume lazima imtolee macho
Lazima atatongozwa na let me tell you one thing wanaume wanatafuta weakness ya wanawake wakianza kumuhonga kidogo tu umeumia
Mjini hapa kuna wanaume kazi yao ni kula wake na mademu za watu(tunawajua)
Mwanamke ninayemuongelea hapa ni mwanamke wa aina ipi?
Wanawake wa mjini nadhani mnawajua
Kwanzia uvaaji mpaka matembezi ni mapozi brazillian hair kwa sana, mkoba lui vuitton, perfume kitu cha hermes 24 Faubourg*$1,500
Mkononi ana saa ya harry winston (cheki wakuu mlivyotoa macho) hahaha
High hills za maana
Hatumi ma PAPAYA YENU.. yeye akitaka vipodozi ana dada yake kaolewa califonia huko ndio anamuagizia toka beverly hills
Kabadilisha passport mbili within her 25 years ya kukaa hapa duniani mara kwa dada yake wa london, mara kwa mjomba wake wa australia, mara kwa shangazi yake balozi wa tanzania canada (mkuu wewe una passport) hahha
Anajua lugha 5 kiswahili, english, french, spanish, na KICHAGA ofcourse
Ana degree ya medicine na ka specialize kwenye udaktari baba yake kamuambia akimaliza atamfungulia hospitali yake kubwa hapa nchini...kwani baba yake aliwahi kuwa waziri wa afya kipindi hiko yeye ndio mtoto wa mwisho ana kaka zake wengine wako uingereza, wengine wako usa
(Nadhani umeelewa aina ya msichana ninayemzungumzia hapa)
Ila ukiwa na pesa mkeo naye unamuwezesha either car, biashara zake au kama ni kazi ni boss sio ngumu kuliwa ma telling you
Wanaume tuna kitu kimoja naomba ni share na nyinyi kama mkibisha siwalazimishi
Tunatongoza wanawake tukishajua kuwa tumemzidi kitu fulani so natumia weakness yake kama silaha wapo wanaokula wanawake kisa wao ji ma hb huyu wapo wanaokula wanawake kwa silaha ya fedha huyunakikutana na demu mwenye fedha maradufu yake anakua mdogo kama piritoni
Wapo wanaokula wanawake kwa silaha ya title au status hapa naongelea watu maarufu au mabosi
Huyu akikutana na mwanamke mwenye hivyo vitu lazima awe mdogo
Ngoja nitoe kijimfano hapa
Lets take hapa hapa africa
Utakuta mwanaume anasema mimi lazima nimle lets say jokate ila jokate huyu huyu kuna mijitu kadhaa inamtamani lakini haiwezi kumpata kwa sababu hawana vitu vitatu nilivyobisema pesa, tittle na let say u hb
Ila kuna kigogo wa bank anasema ngoja lazima nimle jokate
Jokate na yeye baada ya wiki mbili analiwa(nasisitiza huj ni mfano)
Lakini huyu huyu aliyemla jokate anawaza atapata lini kumla OMOTOLA JALADE EKEIDE au tuseme ISABEL DOS SANTOS the richest girl in africa
Sijui mmepata point yangu.
So hapa napenda tu kusema na ninaamini msemo wangu ukipata msichana mzuri na unataka kumuoa fanya kila mbinu uipandishe status yake
Maaana hata awe msichana aliyetulia vipi lazima ataliwa tu.. sikatai kuwa akiwa rich hataliwa akiliwa na huko jua wewe ndio una matatizo so
Mpendezeshe mpandishe status, mpende, umpe mapenzi ya nguvu, mfanye kama mtoto mdogo , yaani mjali nakuambia kuwa kusalitiwa utakuwa unasoma kwa magazeti tu na kusikia kwa jirani
Kwanini nawaambia mwanamke mzuri ukimuoa halafu ukawa hauna pesa lazima utasaidiwa na wanaume wenzako yaani watakuwa wanambinua kila siku mfano nyie mkiwa ni kipato cha kati
Mmetoka nae sehemu kama vile pub or somewhere.. midume lazima imtolee macho
Lazima atatongozwa na let me tell you one thing wanaume wanatafuta weakness ya wanawake wakianza kumuhonga kidogo tu umeumia
Mjini hapa kuna wanaume kazi yao ni kula wake na mademu za watu(tunawajua)
Mwanamke ninayemuongelea hapa ni mwanamke wa aina ipi?
Wanawake wa mjini nadhani mnawajua
Kwanzia uvaaji mpaka matembezi ni mapozi brazillian hair kwa sana, mkoba lui vuitton, perfume kitu cha hermes 24 Faubourg*$1,500
Mkononi ana saa ya harry winston (cheki wakuu mlivyotoa macho) hahaha
High hills za maana
Hatumi ma PAPAYA YENU.. yeye akitaka vipodozi ana dada yake kaolewa califonia huko ndio anamuagizia toka beverly hills
Kabadilisha passport mbili within her 25 years ya kukaa hapa duniani mara kwa dada yake wa london, mara kwa mjomba wake wa australia, mara kwa shangazi yake balozi wa tanzania canada (mkuu wewe una passport) hahha
Anajua lugha 5 kiswahili, english, french, spanish, na KICHAGA ofcourse
Ana degree ya medicine na ka specialize kwenye udaktari baba yake kamuambia akimaliza atamfungulia hospitali yake kubwa hapa nchini...kwani baba yake aliwahi kuwa waziri wa afya kipindi hiko yeye ndio mtoto wa mwisho ana kaka zake wengine wako uingereza, wengine wako usa
(Nadhani umeelewa aina ya msichana ninayemzungumzia hapa)
Ila ukiwa na pesa mkeo naye unamuwezesha either car, biashara zake au kama ni kazi ni boss sio ngumu kuliwa ma telling you
Wanaume tuna kitu kimoja naomba ni share na nyinyi kama mkibisha siwalazimishi
Tunatongoza wanawake tukishajua kuwa tumemzidi kitu fulani so natumia weakness yake kama silaha wapo wanaokula wanawake kisa wao ji ma hb huyu wapo wanaokula wanawake kwa silaha ya fedha huyunakikutana na demu mwenye fedha maradufu yake anakua mdogo kama piritoni
Wapo wanaokula wanawake kwa silaha ya title au status hapa naongelea watu maarufu au mabosi
Huyu akikutana na mwanamke mwenye hivyo vitu lazima awe mdogo
Ngoja nitoe kijimfano hapa
Lets take hapa hapa africa
Utakuta mwanaume anasema mimi lazima nimle lets say jokate ila jokate huyu huyu kuna mijitu kadhaa inamtamani lakini haiwezi kumpata kwa sababu hawana vitu vitatu nilivyobisema pesa, tittle na let say u hb
Ila kuna kigogo wa bank anasema ngoja lazima nimle jokate
Jokate na yeye baada ya wiki mbili analiwa(nasisitiza huj ni mfano)
Lakini huyu huyu aliyemla jokate anawaza atapata lini kumla OMOTOLA JALADE EKEIDE au tuseme ISABEL DOS SANTOS the richest girl in africa
Sijui mmepata point yangu.
So hapa napenda tu kusema na ninaamini msemo wangu ukipata msichana mzuri na unataka kumuoa fanya kila mbinu uipandishe status yake
Maaana hata awe msichana aliyetulia vipi lazima ataliwa tu.. sikatai kuwa akiwa rich hataliwa akiliwa na huko jua wewe ndio una matatizo so
Mpendezeshe mpandishe status, mpende, umpe mapenzi ya nguvu, mfanye kama mtoto mdogo , yaani mjali nakuambia kuwa kusalitiwa utakuwa unasoma kwa magazeti tu na kusikia kwa jirani