LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,148
- 11,195
kama mwaka jana ulikuwa na sh milioni 10 benki na mafuta ya diesel yalikuwa sh 2200
inamaana ulikuwa unaweza kupata lita 4,545.4
kwa sasa kwa bei ya 3200 kwa lita utapata lita 3,125
Hebu cheki hilo gepu hapo ndani ya mwaka mmoja ujue pesa yako imeshuka thamani sio kidogo ni kubwa mean kwa sasa kuiacha pesa benki tu imekaa kuja kushtuka thamani ni ndogo kupindukia , na unakuta uliitafuta kwa jasho kipindi ina thamani na siku ukija kuitoa na kupanga cha kufanya kama ujenzi utabaki unashangaa huelewi cha kufnya
angalia bei za bati,nondo,cement zimepanda kwa mda mfupi na bei inatisha
so tushauriane pesa tuifanyie nini ili ibaki na thamani
inamaana ulikuwa unaweza kupata lita 4,545.4
kwa sasa kwa bei ya 3200 kwa lita utapata lita 3,125
Hebu cheki hilo gepu hapo ndani ya mwaka mmoja ujue pesa yako imeshuka thamani sio kidogo ni kubwa mean kwa sasa kuiacha pesa benki tu imekaa kuja kushtuka thamani ni ndogo kupindukia , na unakuta uliitafuta kwa jasho kipindi ina thamani na siku ukija kuitoa na kupanga cha kufanya kama ujenzi utabaki unashangaa huelewi cha kufnya
angalia bei za bati,nondo,cement zimepanda kwa mda mfupi na bei inatisha
so tushauriane pesa tuifanyie nini ili ibaki na thamani