Dola nchini hazipo halafu Rais anaenda ziarani na utitiri wa watu!

Atlast nimempata

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
282
455
Wiki iliyopita nilienda kituo kimoja kutaka kununua pikipiki Boxer mpya kwa bei ya 2,750,000/=. Nikawa nimepungukiwa nikaenda kujiongeza nimerudi jana naambiwa bei ni 2,950,000 kwasababu ya kupanda kwa dollar! Can you imagine wiki moja shilling inashuka thamani kwa kiwango cha 200,000 (laki mbili?) halafu unasikia SSH yuko nje ya nchi na wasanii, wanawe, mawaziri wakitumia hazina ya hela yetu!

Hivi hii nchi tunajitambua kweli? Lita moja ya petrol ni 3,750/??? Yaani 10,000/ haotoshi hata kununua lita 3 za petrol hapa Dar! Sehemu kama Bukoba sijui bei ya wese sh. ngapi? We need to do something otherwise we are already dead!
 
Ila decision makers wanaishi bhana.

Deligate ile yaani mtu hata hakua na wazo la kwenda Uhindini ghafla unaambiwa lete passport for visa.....

then maposho ya safari kama yoote....na hakuna kitu cha maana umefanya kwenye huo msafara....

Mke wangu FaizaFoxy
 
Wiki iliyopita nilienda kituo kimoja kutaka kununua pikipiki Boxer mpya kwa bei ya 2,750,000/=. Nikawa nimepungukiwa nikaenda kujiongeza nimerudi jana naambiwa bei ni 2,950,000 kwasababu ya kupanda kwa dollar! Can you imagine wiki moja shilling inashuka thamani kwa kiwango cha 200,000 (laki mbili?) halafu unasikia SSH yuko nje ya nchi na wasanii, wanawe, mawaziri wakitumia hazina ya hela yetu!

Hivi hii nchi tunajitambua kweli? Lita moja ya petrol ni 3,750/??? Yaani 10,000/ haotoshi hata kununua lita 3 za petrol hapa Dar! Sehemu kama Bukoba sijui bei ya wese sh. ngapi? We need to do something otherwise we are already dead!
Tanzania inazo dola za kutosha kwa manunuzi na matumizi ya serikali na taasisi zake kwa kipind cha zaidi miezi 6 ijayao.

hayo mengine ni matokeo ya kulegalega na kuimarika kwa uchumi kutokana na matukio mbalimbali duniani mathalani vita, mafurikao, ukame, matetemeko nakadhalika, nakadhalika......
 
Wiki iliyopita nilienda kituo kimoja kutaka kununua pikipiki Boxer mpya kwa bei ya 2,750,000/=. Nikawa nimepungukiwa nikaenda kujiongeza nimerudi jana naambiwa bei ni 2,950,000 kwasababu ya kupanda kwa dollar! Can you imagine wiki moja shilling inashuka thamani kwa kiwango cha 200,000 (laki mbili?) halafu unasikia SSH yuko nje ya nchi na wasanii, wanawe, mawaziri wakitumia hazina ya hela yetu!

Hivi hii nchi tunajitambua kweli? Lita moja ya petrol ni 3,750/??? Yaani 10,000/ haotoshi hata kununua lita 3 za petrol hapa Dar! Sehemu kama Bukoba sijui bei ya wese sh. ngapi? We need to do something otherwise we are already dead!



Lalamikia Dollar lakini tatizo halina uhusiano na Raisi kusafiri! Kati ya mikataba Tanzania ime sign na India ni kutumia pesa zao kwa biashara!!
 
Back
Top Bottom