Mahole
JF-Expert Member
- May 17, 2018
- 682
- 924
`Baba yangu aliwahi niambia, Mwanangu tafuta hela sana, ukiwa na hela, utaongea lugha yoyote na hata kama hawaijui wataitikia na kukupigia makofi```.
Hii nimejifunza hata kwenye huo wimbo wa *JIBEBE*
Yaani mtu anaimba havieleweki na mmoja anasema 'I Like It'
.....Unasachantogo (I like it)
.....Achi nkoroji nkologo (I like it)
.....Kono la sojodo (I like it).......
Pesa iko na power mingi


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nimejifunza hata kwenye huo wimbo wa *JIBEBE*
Yaani mtu anaimba havieleweki na mmoja anasema 'I Like It'
.....Unasachantogo (I like it)
.....Achi nkoroji nkologo (I like it)
.....Kono la sojodo (I like it).......
Pesa iko na power mingi



Sent using Jamii Forums mobile app