Pepo la kupinga linaiangamiza CHADEMA, sasa wanapinga yale waliokuwa wanataka yawe kwenye bajeti

Hauna hoja. Inaonekana haufahamu the overall concept of the opposition. Opposition mkishaanza kuunga hoja za upande wa pili hapo ndo unakuwa mwisho wenu kuitwa "Opposition", Opposition mkiona wenzenu wana hoja nzuri, mnachofanya ni kukaa kimya (You maintain passivity but not to back the proposal).

Tatizo hapa kwetu watawala wamezoea kufanya jambo kwa nia ya kutegea asifiwe na pale wengine wanapokuwa na mtizamo tofauti ndipo mipango inapoundwa hata wapotee kabisa duniani!

Ndiyo maana demokrasia yetu kamwe haitakaa iondoke kwenye makaratasi.
So ni kama debate tu.
 
Mtoa mada umenena upingaji sio nambo jema hata jambo jema hawa jamaa wanapinga tuuuuu....
Kuhusu kufutwa kwa road license nalo kwao limekua baya naye zitoo analalamikaa tuuuu....
Utetezi wao dhaifu...

Hebu tujadili....
Unapopinga uondolewaji wa ushuru wa usajiri wa magari kwa mwaka kwa kigezo cha kupanda kwa garama za mafuta unakua haujui historia ya wafanyabiashara wa nchi yetu ikiwa ni pamoja natabia zao pamoja na kuwa huna jema moyoni mwenu..
Wafanya biashara wa tanzania wamekuwa wakipandisha ovyooo bei za vitu kwa maslai yao wenyewe kwa visingizio kibao kumbe ni wao kutokuwa na upendo tu na ndugu zao wa tz.
Kwa maana fupi hata wangepandisha ushuru wa usajili wa magari kwa mwaka bado mnge lalamika lakini pia hao wafanya biashara bado wange padisha bei za vitu baada tu ya bajeti.

Sasa serikali imefuta kodi hii na kuiweka sehemu ambayo kila mtumiaye atalipa bila kukwepa mnalalamika.

NB. Tuache kulalamika kwa kila jambo tuipende nchi yetu tusipotoshe potoshe kama inavyoendelea hivi sasa kwenye mitandao ya kijamii.
Nadhani tuwe tunatoa mapendekezo ya kuisaidia serikali..
Naiomba serikali kwa mfumo huu uhamie na TANESCO kwa kuwawekea wateja wake umeme bure na kuirejesha pesa yao kwa kila unapo nunua umeme mpaka utakapomaliza deni tofauti na sasa ambapo watanzania wengi wanashindwa kuweka umeme kwao kwa sababu ya gharama kubwa iliopo.. Ni hayo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom