Pepo la kupinga linaiangamiza CHADEMA, sasa wanapinga yale waliokuwa wanataka yawe kwenye bajeti

Wapinzani wa maendeleo tunayoyataka
Lini wamepinga maendeleo?? Shida ni kwamba upinzani akikosoa kitu basi inatafsiriwa WANAPINGA MAENDELEO......mfano tunaweza sema mbane matumizi afu unakuta mpaka mikopo mmepunguza kwa wanafunzi kwa zaidi ya 40% sasa hapo tukikosoa kubana matumizi kwa staili hyo nyie mtasema TUNAPINGA KUBANA MATUMIZI!!!!!

Msipende kutafsiri tofauti ila msikilize hoja na mzifanyie kazi maana tunakosoa kwa maslahi ya taifa zima
 
Lini wamepinga maendeleo?? Shida ni kwamba upinzani akikosoa kitu basi inatafsiriwa WANAPINGA MAENDELEO......mfano tunaweza sema mbane matumizi afu unakuta mpaka mikopo mmepunguza kwa wanafunzi kwa zaidi ya 40% sasa hapo tukikosoa kubana matumizi kwa staili hyo nyie mtasema TUNAPINGA KUBANA MATUMIZI!!!!!

Msipende kutafsiri tofauti ila msikilize hoja na mzifanyie kazi maana tunakosoa kwa maslahi ya taifa zima
Tunachosema mtoe way foward si kupinga tu
 
Tunachosema mtoe way foward si kupinga tu
Way forward si inatolewa jumatatu kwenye maoni ya kambi rasmi juu ya bajeti ya serikali kuu!!!!!

Na pia kma uko makini kusoma hotuba za maoni ya kambi rasmi ya upinzani kabla ya hitimisho huwa kuna recommendations zote kuhusiana maeneo tuliokosoa kwenye kila wizara husika!!! Ssa ni lini tumekosoa bila way forward??

Usisikilize propaganda za mitandaoni kajishughulishe kusoma official documents za upinzani na sio kauli ya watumia ID feki humu jf ndio mnatafsiri kma maoni ya upinzani??
 
Sababu ni kwamba mnayarukilia kwa kukurupuka, hamjayafanyia utafiti wa kutosha, nia yenu ni kulituliza dude tu, hamna mikakati endekevu ya kuondokana na matatizo yanayotukabili kama taifa, mfano mubashara ni swala la makinikia. Hebu angalia swala la TANESCO, IPTL anaomba aongezewe mkataba wa miaka mitano, wakati uwepo wake kisheria ni majanga. Sasa hivi TANESCO wanalipa tena deni la escrow kwa STANDARD CHARTED BANK kwani kisheria ndio wamiliki halali wa IPTL. Sisi na wabunge wetu, wengi wakiwa wa CCM tupo tu kama mazuzu.
Vilaza wote wa ccm wanajua tu kusema ndiyooo hata ukiyaambia leo mnaenda kuliwa utasikia ndiyoo, naapa kwa mbingu na ardhi nawachukia sana wafuata mkumbo na kamwe sitakuwa radhi nao maana wanamchango mkubwa na wa dhati Karisa katika kuliangamiza taifa na watu wake, ccm ni chama cha majizi nawachukia toka moyoni ni wanafiki haijawahi tokea duniani
 
Vilaza wote wa ccm wanajua tu kusema ndiyooo hata ukiyaambia leo mnaenda kuliwa utasikia ndiyoo, naapa kwa mbingu na ardhi nawachukia sana wafuata mkumbo na kamwe sitakuwa radhi nao maana wanamchango mkubwa na wa dhati Karisa katika kuliangamiza taifa na watu wake, ccm ni chama cha majizi nawachukia toka moyoni ni wanafiki haijawahi tokea duniani
Unawatukana Lowassa na Sumaye
 
Mpinza atakayeangusha chama tawala hasa kwenye nchi zetu hizi za kusadikika ni lazma atoke chama tawala.

Kazi ya mpinzani sio kusifia bali ni kung'amua kile ambacho hakijafanywa na mtawala na kukipigia kelele.

Hata China inaongonzwa na chama kimoja lakini kuna wapinzani wanaopiga kelele km watanzania. Tusiwaone wapinzani km hawana faida, maendeleo huletwa na mtawala Kwa kukosolewa
 
Ni kweli yapo mengi lkn ni yapi yasiyokuwa kwnye siasa?? Siasa ndio inaongoza maisha yetu ya kila siku.ni kweli hata shetani kz ake ni kupinga mazuri yoote anayofanya mungu.yeye shetani hakuna jema lolote litokalo kw mungu.yoote ni mabaya.Na huyo roho wa shetani akikupanda wewe ytapinga kila kitu
Mkuu sasa ndio kila siku aandike nyuzi kuhusu chadema tuuu? Kwani ni lazima kuweka uzi humu? Mfuatilie nnyuzi zake zote ,ni chadema ,chadema,chadema kila kukicha hana anachowaza zaidi ya hiki chama chetu pendwa
 
Mkuu sasa ndio kila siku aandike nyuzi kuhusu chadema tuuu? Kwani ni lazima kuweka uzi humu? Mfuatilie nnyuzi zake zote ,ni chadema ,chadema,chadema kila kukicha hana anachowaza zaidi ya hiki chama chetu pendwa
tatizo lako wewe ni dikteta mbaya sana,unataka wote tuandike na kufikiri utakavyo.
 
Mleta mada, ivovitu vinavyopigwa basiujue vinaathari kwajamii au vimeanzishwa bila kujali sheria mfano maswala ya road license kuingizwa kwenye mafuta maanayake hataambao siwatumiaji wa magari watalipa. Naupandaji wa bei za mafuta unaathari kubwa kwenye uchumi wa nchi
 
Sasa hivi upinzani unafundishwa jinsi ya kufanya kazi yake
Hili Kosoeni lile msikosoe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom