snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,320
Huyo mke hakufai brother. Lakini pia kuzini na mdogo wake haikuwa sahihi. Kwa kuwa ni ndoa ya Kikristo mnachoweza kufanya ni ku-separate kwa muda (mapadri wanaruhusu). Hii itatoa fursa kwa mkeo kujirudi na hatimaye kujenga ndoa imara zaidi hapo baadaye. Iwapo hatajirekebisha mnaweza ku-extend hiyo separation.
kwa aina ya mume huyu!wacha tu mke awe na hiyo tabia!
mwanaume ambaye hana subra na kujitafiti kiasi hiki hata malaika angekuwa na jeuri!