mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu; tunaishi na shemeji yangu mdogo wake na mke wangu; kiukweli ni mkarimu na mwenye nidhamu; juzi aliniomba tukutane Kebbys hotel baada ya muda wa kazi ili tuzungumze tabia ya dada yake; yeye pia ni mwajiriwa; kiukweli baada ya mazungumzo marefu niliamua kupunguza stress kwa kufanya nae mapenzi;na ilikuwa nzuri maana huzuni na mawazo yote yameisha; nashiwishika kuendelea na mahusiano na shemeji yangu
nayajua yote hayo kuwa sina nidhamu;ni vyema unishari badala ya kulaumu ndugu
i dont knw how to put it right;however sikuwa kuwa na matamanio na shemeji yangu licha ya kuwa ni msichana mzuri;kilichotokea kwangu ni huruma ya shemeji kupooza maumivu ya ndoa tu;sina mpango wa kuendelea kuzini naye as i need to settle down
Hongera sana kwa kupata mke mdogo. Nakushauri umuhamishe hapo home na ufunge ndoa nae ya siri. Siku akianza ukorofi na yeye, mtafute mama mkwe mkajadili taboa za wake zako wote wawili afu mchukue chumba. Mama mkwe akianza ukorofinae umtafute baba mkwe eeh.
Jerrytz its sad you went so low, no rationalization Sir.
Keep off both ladies, come clean of your conscience.
Problems with your lawfully wedded wife notwithstanding,
Church was the place for reconciliation, not in a Hotel or any such place.
While it appears you have irreconcible differences, your sister inlaw is no long term solution to the mess. The word for you is to STOP!
Start afresh
WanaJamvi, we pray for this brother in a sad marital mess please!
Jerrytz its sad you went so low, no rationalization Sir.
Keep off both ladies, come clean of your conscience.
Problems with your lawfully wedded wife notwithstanding,
Church was the place for reconciliation, not in a Hotel or any such place.
While it appears you have irreconcible differences, your sister inlaw is no long term solution to the mess. The word for you is to STOP!
Start afresh
WanaJamvi, we pray for this brother in a sad marital mess please!
Guys this is very serious; ln fact last week nilishaanza mchakato wa ku divorce;nilipokwenda church baada ya majadiliano marefu nikaambiwa kanisa halina uwezo wa kutenganisha ndoa;hivyo ombi langu la divorce lipo kwa mkuu wa wilaya;issue ya talaka ndio iliyotuleta hapo kebbys ili tujadili
Thank u very much; u hv come to my rescue, u have shown me my weakness and yet you directed to the place where i will a lasting solution! Thank u for ur prayers, for the first time i feel relieved; i will take heed to your word, what a wonderful morning, oooh God have mercy on me!
mi ndo mana nilikumiss mwaya!Hongera sana kwa kupata mke mdogo. Nakushauri umuhamishe hapo home na ufunge ndoa nae ya siri. Siku akianza ukorofi na yeye, mtafute mama mkwe mkajadili taboa za wake zako wote wawili afu mchukue chumba. Mama mkwe akianza ukorofinae umtafute baba mkwe eeh.
mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu; tunaishi na shemeji yangu mdogo wake na mke wangu; kiukweli ni mkarimu na mwenye nidhamu; juzi aliniomba tukutane Kebbys hotel baada ya muda wa kazi ili tuzungumze tabia ya dada yake; yeye pia ni mwajiriwa; kiukweli baada ya mazungumzo marefu niliamua kupunguza stress kwa kufanya nae mapenzi;na ilikuwa nzuri maana huzuni na mawazo yote yameisha; nashiwishika kuendelea na mahusiano na shemeji yangu
we kweli seven up!
YANI ISSUE YA TALAKA NA MKEO MNAONGEA NA SHEMEJI YAKO KEBBY'S?
NDOA ULIFUNGA NA SHEMEJI AU DADAKE?
UNA GROUNDS ZIPI TENA ZA KUDAI TALAKA ILHALI USHAHALALISHA UHARAMU?
UJEURI WA MKEO UNAKUSIMAMISHAJE DUSHE KWA MDOGO WAKE?
hebu tuache tuingie mwaka kwa amani bana!
hivi mapungufu ya mtu mwingine yanakupaje sababu na wewe kutosimami misismamo yako ya kimaisha kama sio na wewe ulikuwa DHAIFU TUU!
mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu; tunaishi na shemeji yangu mdogo wake na mke wangu; kiukweli ni mkarimu na mwenye nidhamu; juzi aliniomba tukutane Kebbys hotel baada ya muda wa kazi ili tuzungumze tabia ya dada yake; yeye pia ni mwajiriwa; kiukweli baada ya mazungumzo marefu niliamua kupunguza stress kwa kufanya nae mapenzi;na ilikuwa nzuri maana huzuni na mawazo yote yameisha; nashiwishika kuendelea na mahusiano na shemeji yangu
hapo sasa!Halafu ni ndoa ya Mwaka mmoja tu! Muwarudishie watu michango yao! Khah!