jerrytz
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 5,980
- 4,284
- Thread starter
- #21
mkuu Liverpool; thanks kwa ushauri in fact sina lengo wala nia ya kuendelea na huyu shemeji yangu; thats true some womens wanaboa kwa kweli wanaweza kukupeleka ambapo sipo kabisaKimlacho mwenzake siku zote huwa kina njaa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,kula kila kitu jerrytz; bila shaka nafasi katoa mwenyewe mkeo,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Yani ana bahati sana kwani ingekuwa ni Mimi ningemjengea kabisaaaa kwani hawa wanawake wanaudhi sana Best!!!!!!
Last edited by a moderator: