penzi la shemeji

penzi la shemeji

Kimlacho mwenzake siku zote huwa kina njaa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,kula kila kitu jerrytz; bila shaka nafasi katoa mwenyewe mkeo,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Yani ana bahati sana kwani ingekuwa ni Mimi ningemjengea kabisaaaa kwani hawa wanawake wanaudhi sana Best!!!!!!
mkuu Liverpool; thanks kwa ushauri in fact sina lengo wala nia ya kuendelea na huyu shemeji yangu; thats true some womens wanaboa kwa kweli wanaweza kukupeleka ambapo sipo kabisa
 
Last edited by a moderator:
Mianaume ya siku hizi mipumbavu kweli. Hivi wewe unajua mkeo ni mkorofi na nidhamu yake ni mbaya kwanini bado unaendelea kuishi naye? Mpe talaka ili ufanye hayo unayoyafanya sasa pasipo lawama maana hata sasa unamsaliti kwani bado ni mkeo. Mimi huwa najiuliza sana hivi utawezaje kuishi na mtu ambaye totally hamuendani? unadhani maisha ni leo na kesho? muachane kila mtu awe huru na yeye kuna watu akiishi nao wataelewana. Nyinyi ndo huwa mnaishia kuchinjana tu, elewa maisha ya ndoa ni mawasiliano hakiharibika mawasiliano tu mengine yote yameharibika pia.

mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu; tunaishi na shemeji yangu mdogo wake na mke wangu; kiukweli ni mkarimu na mwenye nidhamu; juzi aliniomba tukutane Kebbys hotel baada ya muda wa kazi ili tuzungumze tabia ya dada yake; yeye pia ni mwajiriwa; kiukweli baada ya mazungumzo marefu niliamua kupunguza stress kwa kufanya nae mapenzi;na ilikuwa nzuri maana huzuni na mawazo yote yameisha; nashiwishika kuendelea na mahusiano na shemeji yangu
 
yaan nataman nisome connection hiyo had wanachukua room

guys;topic ilibadilika kutoka divorce pale aliponiuliza kuwa kwa nini kijana kama mimi nahangaika na mtu asiyejali wala kuthamini thamani ya ndoa;mayb alisha plan kila kitu na nilivutwa kwa sympathy yake kwangu lakini pia kumbuka i am man mwenye hisia na ukijumuisha na matatizo ya kwenye ndoa yangu ilikuwa rahisi tu kufanya nilichofanya japo sisemi kwamba nilichofanya kilikuwa sahihi
 
Hongera sana kwa kupata mke mdogo. Nakushauri umuhamishe hapo home na ufunge ndoa nae ya siri. Siku akianza ukorofi na yeye, mtafute mama mkwe mkajadili taboa za wake zako wote wawili afu mchukue chumba. Mama mkwe akianza ukorofinae umtafute baba mkwe eeh.
 
Mkuu pole sana, hata huyo shemeji yako hana nidhamu.
 
mianaume ya siku hizi mipumbavu kweli. Hivi wewe unajua mkeo ni mkorofi na nidhamu yake ni mbaya kwanini bado unaendelea kuishi naye? Mpe talaka ili ufanye hayo unayoyafanya sasa pasipo lawama maana hata sasa unamsaliti kwani bado ni mkeo. Mimi huwa najiuliza sana hivi utawezaje kuishi na mtu ambaye totally hamuendani? Unadhani maisha ni leo na kesho? Muachane kila mtu awe huru na yeye kuna watu akiishi nao wataelewana. Nyinyi ndo huwa mnaishia kuchinjana tu, elewa maisha ya ndoa ni mawasiliano hakiharibika mawasiliano tu mengine yote yameharibika pia.

is that all?!
 
Anhaa nyie mlikua mmesha tamaniana before, kama nia yenu ilikua kutafuta solution kwa nini msiongelee nyumbani na mkeo akiwepo,nia yenu ilikua moja tu nayo ni kwenda kupata 'mgegedo'
 
soma mistar miwili ya mwisho ya thread yako uloianzisha,halafu fananisha na hapo kwenye red,sina nia mbaya ya kukurudisha class,ila nyie mlikua mnatamaniana kitambo,mioyo yenu ilikua inaongea,NGONO SIKU HIZI IMEKUA SIMPO SANA

Kuzini na mahusiano isnt the same thing!
 
Nani kasema ni haramu kuoa mtu na mdogo wake? That is not incest guys!
 
Dah! balaa kubwa hili, nijuavo ukitaka kutenda dhambi ukatendee mbali,sio mtaani kwako sio kwenye familia yako wala ya mkeo! Kwa kifupi ni kuwa umejidhalilisha sana na umemdhalilisha sana mkeo! Itafika kipindi utaihitaji heshima yako kwa gharama yoyote lakini huwezi kuirudisha!

Take my advice, if you want do, do it but make sure your wife & family will never know and i mean it never
 
And how is he supposed to ensure that they dont ever find out? Zinajulikana scandal za meremeta na accounts za uswis ijekuwa ngono za kitaa? Kha!
Dah! balaa kubwa hili

Take my advice, if you want do, do it but make sure your wife & family will never know and i mean it never
 
Hongera sana kwa kupata mke mdogo. Nakushauri umuhamishe hapo home na ufunge ndoa nae ya siri. Siku akianza ukorofi na yeye, mtafute mama mkwe mkajadili taboa za wake zako wote wawili afu mchukue chumba. Mama mkwe akianza ukorofinae umtafute baba mkwe eeh.

Nadhani wewe ni malaika kama sio mtakatifu uliyebaki hapa duniani! Asante
 
mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu; tunaishi na shemeji yangu mdogo wake na mke wangu; kiukweli ni mkarimu na mwenye nidhamu; juzi aliniomba tukutane Kebbys hotel baada ya muda wa kazi ili tuzungumze tabia ya dada yake; yeye pia ni mwajiriwa; kiukweli baada ya mazungumzo marefu niliamua kupunguza stress kwa kufanya nae mapenzi;na ilikuwa nzuri maana huzuni na mawazo yote yameisha; nashiwishika kuendelea na mahusiano na shemeji yangu

Makubwa acha kutafuta justification wewe, eti mlipanga mkutane hoteli kujadili tabia ya dada yake, huoni hata uzito mdomoni kutamka wile mlikua na yenu,
huna hata rafiki ukamuwekamo hapo huyo shemeji yako kidogo maana inaonyesha hana pumziko
 
Mkuu Kaunga unamshauri aendelee kugegeda? Je ungekuwa wewe ndo mkewe ungejisikiaje?

sometime ushauri wa hivyo unafaa kwa watu kama hao coz anajua anachokifanya anahitaji justification tu coz hana mpango wa kuacha
 
Makubwa acha kutafuta justification wewe, eti mlipanga mkutane hoteli kujadili tabia ya dada yake, huoni hata uzito mdomoni kutamka wile mlikua na yenu,
huna hata rafiki ukamuwekamo hapo huyo shemeji yako kidogo maana inaonyesha hana pumziko

nimetafuta justification gani hapo? Kama huna la kuchangia ni vyema ungebaki kimya kaka!
 
ur justifying kuwa ur ryt of what ur duing pole sana mdau,

m not justfying anything; its bad that when people think they are capable of handling problems through someone else life;
 
Back
Top Bottom