penzi la shemeji

penzi la shemeji

Tafuna tu ndo raha ya kula na nduguyo
 
You are absolutely right; ni kosa ya dada yake/mkeo. After all wanaume nyie ni DHAIFU.

Wewe endelea tu kwani ni wa kwanza au utakuwa wa mwisho bwana. Huyo shemejio ana huruma sana kwakweli!

Ni wewe huyu dada????? Au ndo new perspective ya new year?????


Judging the wife kabla hata hamjamsikia na yeye????? .........Please
 
hakutakiwa kufanya hivyo jamaa, kaa chini na mkeo hata kwa kushirikisha ndugu zake ama wazee! akishindikkana "SHATI LIKIKUBANA ACHANA NALO CHUKUA JINGINE"
 
Du ndugu watu wa aina hii hawakawii kusema shetani aliwapitia hivi kweli shetani akupitie mpange pa kukutana ,Muda , mkutane mchukue chumba mvue moja moja mpaka ziishe bado tu shetani anakupitia ....

sometimes in the wind of change we can find true direction
 
Ila wewe jama mi nona mamuzi ushayafanya uanchotka kwetu cjakijua n nn
 
wewe kula kitu mkuu,km wyf anakunyima kitu sasa utakula wapi?si bor uzunguke hapo hapo tu.japo ni noma sana,take care mkuu.:target:
 
chukua shemeji kabisa kama umeona ndio suluhisho
mke kama hana adabu jiulize kama chanzo sio ww
jerrytz kama vile jerry muro vile ndie kaowa mwaka jana kama sijakosea
if not you sorry jerry.
 
kwa wale watakatifu ambao hawajawahi kutenda kosa hapa duniani na wakaamua kutoa kashfa na matusi asanteeni sana! Kwa wale walioona kosa langu na kutoa ushauri mwema Mungu awazidishie hekima!Nimejifunza mengi hapa

Pole yako.. Chemka mbaya mwanangu ukashindwa hata kuchepuka pande ingine ukaenda onyesha shemejio uchi afu wataka tukubembeleze wanchekesha ...


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Dah! Kwa kweli hii ni kali ingawa ndani ya jamii mambo kama haya yapo. Ila kumbuka si kila kitu jamii ifanyacho kinastahili kuigwa ama kuendekezwa,jiulize ndani ya familia yao utachukuliwaje kama si kwamba wewe ulikuwa chanzo cha mgogoro ndani ya ndoa yako ili tu uwe na mdogowe? Acha hizo Jerrytz,ni vyema kama umeonda maisha ya ndoa yenu hayawezi kuendelea kwasababu ya madhila yaliyomo,basi ni vyema ukatafuta mwingine tofauti na nduguye tena mdogo mtu kwani naamini utapata na wapo wengi hujachelewa.
 
Mwishoni utaoa Mke mwingine ambaye ni Shemeji yako....Siri tunaficha na bayana tunasema... Sikutegemea kama mtu unaweza kujisifu mbele za watu kwamba unatembea na Shemeji yako. Niseme ukweli wewe na huyo shemeji yako hamna adabu na hiyo ndoa itabomoka muda sio mrefu
 
lisa i hv discovered my mistake

[h=2]penzi la shemeji[/h]
mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu; tunaishi na shemeji yangu mdogo wake na mke wangu; kiukweli ni mkarimu na mwenye nidhamu; juzi aliniomba tukutane Kebbys hotel

Mdogo wangu jerrytz hukurudi tena kutuambia kosa uliloligundua, hapo ni baada ya mkwala wa True Story wa Lisa kuwa Ukigonga Nje lazima na wewe utagongewa na usirudi hapa na kilio tena maana huyo Mke wako ni Mpole sana mpaka anakuletea mdogo wake mnaishi /mnatembeleana naye bila kinyongo halafu unamwita Mke wangu ni MKOROFI hana NIDHAMU
Unachezea shilingi chooni hebu mpe talaka km hukuona jamaa wanapita naye na kibend,
Baada ya harusi unatakiwa umpe mimba atatulia wewe unamfuata huyo Shankupe mdogo wake (eti ni Mkarimu na ana Nidhamu)hana haja ya mimba Achana naye iko siku utatambua Mke ana umuhimu gani.
Ghafla leo umelazwa, ni nani atakuja Hospital kukuona sikuombei lakini wote watalala mbele ila mkeo
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wengi siku hizi ni matapeli wa mapenzi,mkiwa kwenye uchumba anakuwa kama paka anaficha kucha ndani lakini akishaingia ndani anayatoa makucha,hata tabia ambazo ulikuwa haujamuona nazo zinatoka sasa,mbaya zaidi akiwa na kazi kidogo
 
Tatizo la sisi binadamu wa kileo,tunapenda mno urahisi hatupendi kujifikirisha,tunasahau kuwa hakuna mkamilifu chini ya jua,shemeji sio mkorofi ni mkarimu unaujua udhaifu wake?au umekurupuka tu from nowhere na matatizo yako ya ndoa hayo ukaona your in-law hana tatizo sio?ulishachukua mda wako kidogo na kujaribu kumrekibisha wife wako?au umeamua kumhukumu bila kujitetea kama ulivyofanya?je wewe kwa upande wako huna tatizo?hukuyajua hayo kabla hujamuoa au ni tamaa zako kwa shemejio zikakufanya ukayaona hayo mapungufu?ni muhimu ukakumbuka kiapo chako cha ndoa na usipo angalia vizuri huyo shemeji atakuvunjia ndoa yako
 
Jamani wanaume mna tamaa kama mafisi!!!!halafu visingizio vyenu ndo hivo mwanamke,kwani mkeo akikuudhi lazima ulipize kwa kwenda kufungua zipu kwa mwanamke mwingine??mangapi mnatutenda sisi wanawake hatuendi kupunguza hasira kwenye dushe*za wengine?Punguzeni tamaa za kijinga

Nyie wooote hamjamwelewa huyu chaliii,alikuwa anajaribu kuona kama ile kitu yake hata kwa shemejie itapita au itakwama,jibu amepata kuwa nako inapita,sasa anajiuliza aendeleeee?
 
Why didnt u marry her instead ukamuoa dada mtu..?,sumtyms sisi men cjui tunawaza nini..:nimekataa
 
Pervert!
mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu; tunaishi na shemeji yangu mdogo wake na mke wangu; kiukweli ni mkarimu na mwenye nidhamu; juzi aliniomba tukutane Kebbys hotel baada ya muda wa kazi ili tuzungumze tabia ya dada yake; yeye pia ni mwajiriwa; kiukweli baada ya mazungumzo marefu niliamua kupunguza stress kwa kufanya nae mapenzi;na ilikuwa nzuri maana huzuni na mawazo yote yameisha; nashiwishika kuendelea na mahusiano na shemeji yangu
 
Nakushauri,kama una mdogoako wa kiume tafadhali sana mwachie agegede mkeo(shemejiye) ili ampunguzimd stress kama wewe ulivyopunguza kwa mdogo wake.
 
mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu; tunaishi na shemeji yangu mdogo wake na mke wangu; kiukweli ni mkarimu na mwenye nidhamu; juzi aliniomba tukutane Kebbys hotel baada ya muda wa kazi ili tuzungumze tabia ya dada yake; yeye pia ni mwajiriwa; kiukweli baada ya mazungumzo marefu niliamua kupunguza stress kwa kufanya nae mapenzi;na ilikuwa nzuri maana huzuni na mawazo yote yameisha; nashiwishika kuendelea na mahusiano na shemeji yangu

mkuu Kumbe huo ulikua ni uamuzi wako!..nadhani ungetafuta ushauri jamvini kabla hujatoa huo uamuzi!..saiv naona kama too late vile!
 
Back
Top Bottom