ibigi
Member
- Jun 14, 2016
- 49
- 18
Kunguru hafugikiOa mkuu kwanza huyo anajua uchungu wa maisha fanya chapu asee![]()
Kunguru hafugikiOa mkuu kwanza huyo anajua uchungu wa maisha fanya chapu asee![]()
Acha kujitos ufshamuuNani anawadharau?
Hivi ushapata amani?mkipendana nyie tu. inatosha.
kwani kwenye ndoa utaenda kuishi na familia???
Sidhani kama msemo huu umeutumia sehemu sahihi..Kweli we umechafukwa...
Umetema Big G kwa karanga za kuonjeshwa
ASEEEHSidhani kama msemo huu umeutumia sehemu sahihi..
umenifanya nicheke. huoni nilipewa ushauri. niwe karibu na marafiki. na marafiki wapo hukuHivi ushapata amani?
KWANI BAR MAID SIYO MWANAMKE??? HIZO KAZI NI MGAWANYIKO TU WA MAJUKUMUU..ACHENI DHARAU... AU KE NA YENYEWE INAKUWA NA DEGREEWadau niko kwenye Hali ya sintofahamu baada ya kumuacha mpenzi wangu mwenye qualities kama zangu (Degree,Cpa t na masters) nimeangukia Penzi la bar maid,familia, marafik,i ndugu hakuna anaenielewa kabisa nikiwaelezea..
Ushauri please...ni sawa mm kumuoa barmaid??
alaya ulioa au ulikua unapooza tuu?kawaida san kijana muhimu awe salama kiafya,mimi wakat wa ujana nikiwa tingo wa loli za nje niliwah kutelekeza watotot na mke mzuri sana ambaye nilimpata kwa shida sana ikiwamo kwenda kwa waganga,kuhonga ndgu zake na mshoga zake nk nkazamia kwa malaya mmoja likuwa akijiuza pale border tunduma..hakuna liyenielewa katika familia na malafiki
nimefanyaje tena. wifi cc Smart911