nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 290
- 237
Wadau niko kwenye Hali ya sintofahamu baada ya kumuacha mpenzi wangu mwenye qualities kama zangu (Degree,Cpa t na masters) nimeangukia Penzi la bar maid,familia, marafik,i ndugu hakuna anaenielewa kabisa nikiwaelezea..
Ushauri please...ni sawa mm kumuoa barmaid??
Ushauri please...ni sawa mm kumuoa barmaid??
