Pengo: Nimesamehe

Kwa nini hakutuomba radhi tuliokerwa na matamshi yake yaliyosababisha kelele nchi nzima?
 
Pengo ndio kiongozi wa kanisa Katoliki Tanzania

mkuu kwa mujibu wa canon law zinazoongoza utaratibu wa kanisa hakuna cheo cha mkuu wa kanisa katoliki nchini .ila kuna mkuu wa kanisa katoliki duniani ambaye anaitwa papa hata hivyo cheo hicho anakipata baada ya YESU kuwaambia waafuusi wake petro wewe ni mwamba na juu ya mwamba huu litalijenga kanisa hivyo petro ni mmoja tu ambaye anaitwa askofu wa Roma ambaye ndiye papa hivyo uaskofu ndicho cheo cha mwisho hata papa cheo chake halisi ni askofu mkuu wa roma .hivyo maaskofu ni waandamizi wa mitume .kwa hiyo mwadhama ni askofu mkuu wa jimbo la dar es salaam na mamlaka yake yanaishia jimboni kwake sio nchi nzima
 
  • Thanks
Reactions: GP
Askofu mkuu wa jimbo kuu la dar es salaam Mwadhama Polcarp Kadinali Pengo amesema amemsamehe mchungaji gwajima(hakuumtaja) na wote walioguswa ,ameyesema hayo wakati wa misa takatifu ya jumapili ya matawi tarehe 29th march 2015 katika kanisa kuu la st joseph cathedral .

"naomba niseme kutokana na hali iliyopo kuwa kutoka moyoni kabisa nimesamehe yote yaliyosemwa na naomba tumuombee na kuwaombea wote walioguswa sina kinyongo chochote"
waamini walilipuka kwa makofi baada ya kusikia kauli ya mwadhama

Mytake:
ushauri kwa jamhuri madam mwadhama ametamka tena huku akiwa amekalia kiti cha kiaskofu kwa sisi wakatoliki nadhani tunajua maana ya tamko linapotolewa huku askofu akiwa amekalia kiti chake basi na wao wasikie mtukanwa kasemehe na wao watumie hekima kuachana na gwajima ili kuipa uzito maaana ya msamaha unless kama jamhuri inataka kuendelea kwa mahojiano ya mambo mengine sio la kutukanwa,maana mtukanwa akitoa msahama huku mambo yanaendelea itaonekana hakuna msahama wa kweli kutoka kwa Mungu.

chanzo mimi mwenyewe
HUYU ALIITWA MPUUZI AIMTOSHI MUWAAJI KABISA NA wenzake
 
Mkuu JME, nimekusaidia kidogo kwenye maeneo niliko weka red!, jina rasmi la Pengo ni Muadhama Policarp, Kardinali Pengo.Kunapofanyika makosa, tunatumia sheria mbili, jinai, na madai (criminal na civil), criminal mshitaki ni jamhuri, na kwenye civil mshitaki ni aliyeadhirika!. Kwenye hili Pengo hajashitaki popote hivyo hata akisamehe, msamaha wake haizuii jamhuri kuendelea na uchunguzi wake wa kijinai!.Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu ambayo yako very strict kwenye kufuata sheria, taratibu na kanuni, na linapokosema na mtu ambaye sii muumini, huweza kutoa msamaha kama huu kirahisi rahisi tuu kwa maana kwa mujibu wa kanisa, huyo Gwajima ni kama mtu tuu wa mataifa hajui atendalo!. Angekuwa ni Mkatoliki ingempasa kuungama, na kupewa adhabu ya kutimiza malipizi!.Pasco

thanks pasco
 
..yeye Pengo si Mungu wa kukosewa na kusamehe..yeye pia ni binadamu..na inasikitisha yeye Pengo hajawahi kuwaomba msamaha maaskofu wenzake kwa kutoa kauli tofauti na makubaliano yao....Mimi bado nasimama na kauli za Gwijma dhidi ya Pengo....maana ni kauli zisizo na chembe ya unafiki...ama Pengo amesahau kuwa unafiki nao dhambi?..inasikitisha sana....Lazima ifike mahali taifa hili liwe na watu wasiopenda unafiki....ndio tunaweza kusonga mbele....Unafiki wa watawala na hata viongozi wa dini umechangia kwa kiwango kikubwa kulifikisha taif hili hapa lilipo....
 
Askofu mkuu wa jimbo kuu la dar es salaam Mwadhama Polcarp Kadinali Pengo amesema amemsamehe mchungaji gwajima(hakuumtaja) na wote walioguswa ,ameyesema hayo wakati wa misa takatifu ya jumapili ya matawi tarehe 29th march 2015 katika kanisa kuu la st joseph cathedral .

KWANINI HAKWENDA KUMWAMBIA KOVA KWAMBA AMEMSAMEHE BADALA YAKE ANAWAAMBIA WAUMINI KWANI WAUMINI NDIO WALIOMSHITAKI GWAJIMA???? UKIWA NA NJAA NA UMIMI UNAWEZA KUFANYA CHOCHOTE USIJE SHANGAA KESHO AKATANGAZA KUWA MAASKOFU WOTE WANATAKIWA KUWA MASHOGA Pengo ni mwanasiasa ndio maana anatafuna nakuyameza maneno yake mwenyewe.

Mwaka juzi zito alisema anaachana na siasa anaenda kuwa mwalimu na akakimbia kabisa hapa jukwaani akahamia twitter leo yuko wapi si jana alikuwa anagombea uongozi? aliwahi kusema mwanasiasa sio mtu wa kuaminika kama yeye unahitaji akili gani kugundua kuwa njaa inaweza ikakushusha suruali? hii ni hatari asante kwa taarifa mkuu
 
Roman Catholics INA historia ya kutesa wakristo wa kweli toka karne nyingi zilizopita.



Gwajima ni wa kumsamehe tu, hana akili nzuri. Kuna clip nimemskia akidai alikuwa anamkemea askofu mwenzake. Yaani Gwajima askofu wa mtaani anataka kujilinganisha na Pengo!!?

Alafu anadai mwenyekiti wa maaskofu wa katoliki ndiye mkuu wa kanisa katoliki Tanzania. Ana uelewa mdogo sana. Sijui anawezaje hata kuwatapeli wafuasi wake kiasi hicho.
 
Mungu atamlipa kila mtu aliyehusika katika kumtesa Ask. Gwajima kiasi hiki, hakika hawatabaki salama hata mijusi ndani ya nyumba zao inaweza kukosekana
 
Gwajima ni wa kumsamehe tu, hana akili nzuri. Kuna clip nimemskia akidai alikuwa anamkemea askofu mwenzake. Yaani Gwajima askofu wa mtaani anataka kujilinganisha na Pengo!!?

Alafu anadai mwenyekiti wa maaskofu wa katoliki ndiye mkuu wa kanisa katoliki Tanzania. Ana uelewa mdogo sana. Sijui anawezaje hata kuwatapeli wafuasi wake kiasi hicho.

Hakika mkuu, gwajima anahitaji msamaha tu, tena anajikweza kwa kusema Pengo ni askofu wa jimbo kuu la dar, na yeye ni askofu mkuu wa Tanzania, kwahiyo anamaanisha kwamba Pengo ni mdogo kwake kimajukumu.

Asante Pengo kwa kumsamehe huyu mtu hajui atendalo.
 
Askofu mkuu wa jimbo kuu la dar es salaam Mwadhama Polcarp Kadinali Pengo amesema amemsamehe mchungaji gwajima(hakuumtaja) na wote walioguswa ,ameyesema hayo wakati wa misa takatifu ya jumapili ya matawi tarehe 29th march 2015 katika kanisa kuu la st joseph cathedral .

"naomba niseme kutokana na hali iliyopo kuwa kutoka moyoni kabisa nimesamehe yote yaliyosemwa na naomba tumuombee na kuwaombea wote walioguswa sina kinyongo chochote"
waamini walilipuka kwa makofi baada ya kusikia kauli ya mwadhama

Mytake:
ushauri kwa jamhuri madam mwadhama ametamka tena huku akiwa amekalia kiti cha kiaskofu kwa sisi wakatoliki nadhani tunajua maana ya tamko linapotolewa huku askofu akiwa amekalia kiti chake basi na wao wasikie mtukanwa kasemehe na wao watumie hekima kuachana na gwajima ili kuipa uzito maaana ya msamaha unless kama jamhuri inataka kuendelea kwa mahojiano ya mambo mengine sio la kutukanwa,maana mtukanwa akitoa msahama huku mambo yanaendelea itaonekana hakuna msahama wa kweli kutoka kwa Mungu.

chanzo mimi mwenyewe

Amwambia Pinda amwachie Ngwajima
 
Mkuu Wewe ndio hujui Kabisa Katoriki linongozwaje. Hakuna sehemu yoyote kwenye canon Law inayomruhusu Pengo kuwa juu ya Rais Wa TEC. Kanisa Katoriki linaongozwa kwa sheria zake. Kama hujui unakaa kimya,Rais wa TEC ndio msemaji Wa Kanisa katoriki Tanzania. Pengo ni mjumbe tu Wa balaza kama wajumbe wengine.

Tatizo hawa wasiyo na uelewa wanadhani Pengo ndiye 'Papa' wa Tanzania.
 
Yeye hajaomba msamaha kwa kukwaza watu? Au yeye ni Mungu anayekosewa tu?

Amesema watu wawe huru kuchagua wanacho taka na sio kuwaambia wafanye jambo flani kanakwamba ni watoto wadogo.

Lakini huenda uko sawa, labda akili yako imezoea kuambiwa fanya hivi, nasiku mtu akikuambia ujiongoze mwenyewe kuchagua unachotaka inakuwa ni kikwazo kwako. Pole kama umekwazika.
 
Back
Top Bottom